SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
So umekubali umekuwa muislam kabla ya kujielewa. Bac thanks it proves my point. So ungekuwa umejielewa usingeamini huo utotoUmekurupuka, nilivyosema kubalehe nimemaanisha kupevuka kiakili.
Hayo mambo mengine umeyatoa wapi?
Be humble, read between the lines.
Mi sijali kuhusu kitabu Chenu Cha story... naongelea Hali halisi. Wanawake kuteswa. Mtume kubaka kitoto na Quran kuandika kill and terrorize the unbelievers. Hio in battle imewekwa brackets coz haipo in original texts.Hayo unayosema juu ya Uislam ni uongo.
1. Uislam hausemi kuwaua wasioamini Allah,... Bali umeruhusu kujitetea endapo utashambuliwa na watu hao.
2. Hakuna Sehemu Uislam eti unasema Mwanamke asipofunika Nywele apigwe mawe, hakuna labda ulazimishe uongo.
3. Kuhusu kuoa mtoto wa miaka 6,.... Hiyo ni hadithi tu na usahihi wa hiyo Hadithi ni questionable.... atleast ungesema Qur'an ndiyo imesema hivyo ningekuelewa.
Kama unataka ku discredit Qur'an njoo na facts,... Ukitunga uongo inaonyesha umeshindwa kupata ukweli.
Ahsante.
Acha tu hii dini jau ka zingine tuMtume wao sindo alimuoa aisha akiwa na miaka sita. Na kufanya nae ngojo akiwa na miaka 9... alimuoa akiwa mdogo, bado anachezea midoli. Baadhi ya wafuasi wake wanaita hii ni sunna ivo wanaoa watoto wadogo[emoji2365]
Unamwamini Mungu yupi wewe?Shetani alianza kama wewe, nahisi Mungu katuumba katika namna ya uhuru zaidi na utawala hivyo twaamua vingi katika uwezo wetu....lakini yeye ni mkuu na yupo nje ya mawazo yetu....yeye ni mkamilifu lakini sisi hatuwezi kuwa wakamilifu, hiyo ni sifa kuu ya kufanya yeye awe Mungu na sisi tuwe wanadamu....amini, kabla ya kifo chako
Kwanza nikuweke sawa kuwa, mimi simfikirii Mungu kuwa sawa na binadamu.
Nimesema kuwa Mungu ana uwezo mwingi,akili nyingi,maarifa.mengi,ukamilifu mwingi ila kati vyote hivyo anavyo katika hali ya wingi na siyo katika hali ya ukamilifu wote (100%) ama ya kutokuwa na kikomo
Nasema hayo sija- Qoute kokote ila nimesema ni kutokana na jinsi anavyojipambanua yeye ndani ya vitabu vyake vitakatifu (rejea mifano miwili ya maswali niliyatolea mfano kwenye uzi).
Mungu angelikuwa na sifa zote hizo za ukamilifu basi hizo kasoro zilizojitokeza (zikapelekea dhambi) zingeweza kuepukika iwapo uumbaji huo angeufanya katika ukamilifu.
Zingatia kwamba, sijaribu kumkosoa/kumsahihisha Mungu katika uumbaji wake bali nataka tu kujua kwanini itokee hivo wakati yeye ana ukamilifu wote na uwezo wake hauna kikomo ?
Labda mnambie kama hizo kasoro aliziumba kwa maksudi kwa sababu anazozijua mwenyewe hapo nitawaelewa ila mkiendelea kunambia aliumba katika ukamilifu wote, hapo nitaendelea kuwauliza maswali yasiyoisha.
Mfano wako wa mpira kuwa na wachezaji 22 na kushindana kuingiza goli kwa miguuu.
Huu mfano kumbuka ni wa kanuni (sheria za kibinadamu ambazo tumeziweka wenyewe) na mara kwa mara hufanyiwa marekebisho kulingana za uhitaji.
Mfano sasahivi wanafikiria kupunguza dakika za kucheza ziwe 40 kwa kila kipindi badala ya 45.
Kwa hiyo hizi ni kanuni ambazo tumweziweka na tunazibadilisha muda wowote tutakaotaka
Ukijiuliza utajua ni sababu ya utawalaMkuu
Ni KWELI super natural power AMBAYO waliamua kuiita Mungu IPO/yupo!
Kinachsikitisha ni kwamba:-
Africa maarifa kumhusu yaliletwa karne ya 18,ina maana waafrica waliishi miaka 1800 bila kujua Mungu wala Dini hizi za ukristo na uislam na SASA tuna miaka 223 TANGU tumfaham MUNGU wa kigeni tuliyeletewa maarifa yake!!!
NB
2023-1800=223 miaka ya maarifa ya Mungu mpya!!
Ni HIVYO tu mkuu anzia hapo kutafakari kwamba maisha ya baby zetu yalikuaje kuanzia mwaka 0 HADI 1800!!?
Tafakari!
Acha uwoga na uvivu wa kufikiri. We ndo chanzo chako sio sisi...Sisi ndio chanzo cha mambo yote haya kutokea kwani tumejengwa kwa mawazo yetu binadamu na hakuna kingine bali sis ndio chanzo cha mambo yote. Usijiulize kuhusu chochote .
Sijui zipo wapi,...aliyeziumba ndiyo anajua exact location ya hizo mbingu Saba.Heavens hizo saba ziko wapi?
Ubishi sio mzuri, kubali kupokea ukweli anytime unapoupata.Evolution is all about use and dissuse. Sasa unasemaje kuhusu hii ya tembo, ambayo ni kitu recent (about a span of 100years). Kama sio use and dissuse ni nn basi?
You've got your facts wrong...
Kama, kwa mujibu wako mbingu ni mawinguni..... Sawa nakubali mtazamo wako.Unaijua story ya Noah...story ya Babel... mbingu ni mawinguni..nyie mkaja na Saba zenu hizo...basi tuzungumzie walioenda space na mwezini. Machine zilizotua mars elezea bac
Nishasema nimekua Muislam baada ya kufikia umri ambao naweza kupambanu mambo... Kusoma na kufuata Uislam ni vitu viwili tofauti.So umekubali umekuwa muislam kabla ya kujielewa. Bac thanks it proves my point. So ungekuwa umejielewa usingeamini huo utoto
Wanawake gani wanateswa? Uislam unamjali na kumpa hadhi kubwa Mwanamke,.... Au Wanawake kujistiri ndiyo mateso hayo?Mi sijali kuhusu kitabu Chenu Cha story... naongelea Hali halisi. Wanawake kuteswa. Mtume kubaka kitoto na Quran kuandika kill and terrorize the unbelievers. Hio in battle imewekwa brackets coz haipo in original texts.
Ni Mujibu wa Quran na bible kwa sababu iliandikwa na watu ambao hawakuweza kufika mawinguni ndo maana walimweka Mungu huko...saa hivi unaweza kufika mawinguni ndo maana unamficha Mungu nje ya ulimwenguni... Muhammad alipaa na farasi kwenda juu why alipaa na farasi Kama sio mawinguni...story ya Nuhu inasema madirisha ya mbinguni yaliachia maji coz hawakujua mvua inasababishwa na Nini...read ur book bacKama, kwa mujibu wako mbingu ni mawinguni..... Sawa nakubali mtazamo wako.
Umri gani uo... umesema ulivyobalehe now unasema ulivyojielewa mbona unajichanganya Sasa... which is whichNishasema nimekua Muislam baada ya kufikia umri ambao naweza kupambanu mambo... Kusoma na kufuata Uislam ni vitu viwili tofauti.
Hata Evolution Theory nilisoma.... Lakini baada ya kuingia deep zaidi ndiyo nikaona ni chai tu.
Angalia mateso wanaopitia wanawake in Islamic countries afu urudi sawa.Wanawake gani wanateswa? Uislam unamjali na kumpa hadhi kubwa Mwanamke,.... Au Wanawake kujistiri ndiyo mateso hayo?
Mtoto gani Kabakwa?
Qur'an haijaandika huo uongo? Only retaliation is allowed in Islam. It's Haram/great sin to kill those who don't harm you in any way.
Inaonekana umejaza chuki tu kwenye moyo juu ya Uislam..., Ingekua sio chuki usingetunga uongo.
Qur'an haisemi kwamba hapo mawinguni ndiyo mbinguni...bali kuhusu hiyo mbingu ya karibu ambayo tunaweza kuiona hata kwa macho Qur'an inasema kwamba imepambwa kwa nyota 🌃Ni Mujibu wa Quran na bible kwa sababu iliandikwa na watu ambao hawakuweza kufika mawinguni ndo maana walimweka Mungu huko...saa hivi unaweza kufika mawinguni ndo maana unamficha Mungu nje ya ulimwenguni... Muhammad alipaa na farasi kwenda juu why alipaa na farasi Kama sio mawinguni...story ya Nuhu inasema madirisha ya mbinguni yaliachia maji coz hawakujua mvua inasababishwa na Nini...read ur book bac
Unaweza ukatoa mfano wa hayo mateso?Angalia mateso wanaopitia wanawake in Islamic countries afu urudi sawa.
Nimekua Muislam baada ya kufikia umri wa balehe,... Yaani baada ya kujitambua.Umri gani uo... umesema ulivyobalehe now unasema ulivyojielewa mbona unajichanganya Sasa... which is which
Wanawake gani wanateswa? Uislam unamjali na kumpa hadhi kubwa Mwanamke,.... Au Wanawake kujistiri ndiyo mateso hayo?
Mtoto gani Kabakwa?
Qur'an haijaandika huo uongo? Only retaliation is allowed in Islam. It's Haram/great sin to kill those who don't harm you in any way.
Inaonekana umejaza chuki tu kwenye moyo juu ya Uislam..., Ingekua sio chuki usingetunga uong
So umekuwa muislam ukiwa na umri gani mbona unakimbia swali just name the age... nilikuwa na miaka kadhaa Kama umenidanganya ni juu yakoNimekua Muislam baada ya kufikia umri wa balehe,... Yaani baada ya kujitambua.
Hiyo niliyo bold hapo juu ndiyo ilikua kauli yangu kwenye post #980,.... Sikuishia kusema kubalehe bali niliweka (Yaani baada ya kufikia kujitambua)
Au Kujielewa ni kinyume Cha neno kujitambua?
Sasa Sijui kwanini unapindisha maneno.
Mbona mnaweka brackets kwenye maneno... this shows that mlikuwa hamjui mnachokiandika.. haya jua ni nyota so ni mbinguni napo ama . Na usiseme kwamba waliamua kutumia...ndo uelewa wao kipindi hicho hawakujua condensation Kama cause ya mvua. So usijaribu kusema hoo mafumbo ni mafumbo saa hivi kwa sababu una elimu kuliko walioandika Quran na Biblia.Qur'an haisemi kwamba hapo mawinguni ndiyo mbinguni...bali kuhusu hiyo mbingu ya karibu ambayo tunaweza kuiona hata kwa macho Qur'an inasema kwamba imepambwa kwa nyota 🌃
"And We have certainly beautified the nearest heaven with stars and have made [from] them what is thrown at the devils and have prepared for them the punishment of the Blaze." (Qur'an 67:5)
Kuhusu hiyo ya Noah, nadhani kwenye Bible waliamua tu kutumia neno madirisha just Literally na sio kwamba walimaanisha madirisha hasa.
NB: Mawinguni it's just a nearest heaven.... Kama nilivyosema kwa mujibu wa Qur'an ni kwamba kuna Seven heavens.