SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Bora umeongea mkuuUwoga ni fikra potofu ukweli ni kwamba mambo mengi yalio kuwa duniani huyu tunaye muita mungu hausiki bali ni mawazo yetu sisi binadamu ndio yamejenga fkra zote hizi kuwa kuna mfano moto,pepo,dhambi,mema na mabaya unaposoma mawazo ya watu ndio unazidi kujichanganya walio leta dini duniani walikuwa na mawazo shawishi yaliyo tufikisha hapa lkn ukweli hakuna anaeujua.
Swahili Union Version 2 PET. 1:20-21 Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.Uwoga ni fikra potofu ukweli ni kwamba mambo mengi yalio kuwa duniani huyu tunaye muita mungu hausiki bali ni mawazo yetu sisi binadamu ndio yamejenga fkra zote hizi kuwa kuna mfano moto,pepo,dhambi,mema na mabaya unaposoma mawazo ya watu ndio unazidi kujichanganya walio leta dini duniani walikuwa na mawazo shawishi yaliyo tufikisha hapa lkn ukweli hakuna anaeujua.
Hii point ni the best kama itasomwa na aliens au viumbe wenye uwezo wa ku access higher dimensionsTunaamini hivyo kwasababu kuna vitu hatujavijua bado!! Sifa za Mungu alizopewa Ktk vitabu haziendani na uhalisia!..
Mkuu fikra zetu zinaathiriwa na mazingira yetu.. sitakupa jibu la Mungu yupo au hayupo ila jibu nalokupa ni kuwa ulimwengu unasheria za kushangaza sana tukijazigundua ndo zaidi tutaelewa kuhusu Mungu!.. hatujui vingi kuhusu ulimwengu ndio maana tunapwayapwaya hata ktk kumuelezea Mungu kwani hatumjui bado.
Imani inatunza sana historia...na inaweza kuhifadhi kwa miaka zaidi ya milioni iliopita.By the way dini inaweza isiwe suala la kubwa kwangu.
Lakini ni kwamba, nikisoma nadharia zingine hasa sayansi ya AUSTRONOMY inanifanya mimi kwa mawazo yangu mwenyewe ni conclude tu kusema Mungu yupo.
Mfano : katika sayansi ya anga za juu (Austronomy) ni kwamba kila kitu kilichoko angani kinazunguka (every object in the universe is moving or is in motion).
Ni kama na maana kwamba Dunia inazunguka,Mwezi unazunguka,Sayari zote zinazunguka,Jua linazunguka,Galaxy (mkusanyiko wa nyota) zinazunguka,Black holes zina zunguka n.k
Yaani kifupi ni kwamba hakuna kitu hata kimoja ambacho kimo hewani kimesimama wima tu hakizunguki,every object is in motion.
Lakini sasa kinachonishangaza, kwenye hii tasnia ni kwamba "ulimwengu unazunguka kwa kufata kanuni maalum".
Yaani unavyoviona angani vyote vinazunguka kwa kufata system/formula ama mfumo maalum na ndiyo maana huoni vikigongana hovyo wakati ukiangalia ni kama viko shaghala paghala (bila mpangailio).
Isingekuwa hivi vitu viko kwenye mfumo maalum basi dunia yetu hii ingeshagogwa na vitu vingine vikubwa sana angani na ingeshasambaratika muda tu.
Coz kwenye anga kuna vitu vikubwa sana ambavyo ukifananisha na Dunia, Dunia itaonekana kama kipande cha kokoto tu.
Hivyo basi, universe kuwa katika mpangalio maalum na kufata kanuni , ndiyo kunanifanya nipate wazo kuwa "Lazima kutakuwa na fundi aliyedizaini hivi vitu na kuviongoza (kama remote controller).
Trust me huu ulimwengu usingekuwa na fundi maalum wa kuungoza basi vitu angani vingekuwa vinagongana kila dakika hata dunia sasahivi isingekuwepo ingeshafanywa kifusi mda.
Sasa huyo fundi ndiye nimekuja kudhani kwamba ndiyo atakuwa huyo Mungu anaesemwa kwenye vitabu vya dini.
Lakini sasa nimeenda na kwenye vitabu vya dini, sifa anazopewa nikilinganisha na matukio ya baadhi ya vitu humo humo kwenye vitabu vya dini, naona kabisa vinakosa ushirikiano/haviendani.
Nimeamua nikupe mfano mmoja tu wa AUSTRONOMY, ila ukitaka mwingine pia nitakupa
Kwann watumie uislamu? Mm nakwambia hivi sujaskia kwenye chombo chochote cha habari... bali mtu nnayefahamiana nae alikua huko ananiambia hali halisi.Acha uongo Mkuu, vita ya Sudan haihusiani kabisa na Uislam.... Bali ni vita ya kisiasa tu
Fuatilia vizuri bila chuki.
Kwanza unajua human assisted evolution ni nn?Basi kama tumekubaliana kwamba Charles Darwin aliipinga theory ya Lamarck hapo tupo sawa.
So hapo Lamarck ashafeli [emoji777]
Sasa tukija kwa Charles Darwin nae, mpaka leo yeye na wafuasi wake wameshindwa kutuonyesha ushahidi wa Ancestor ambae Living Organisms wote tumetokana nae.... Hivyo basi Evolution Theory kwa ujumla inabaki kuwa Imani.
Wanautumia Uislam kivipi..?Kwann watumie uislamu? Mm nakwambia hivi sujaskia kwenye chombo chochote cha habari... bali mtu nnayefahamiana nae alikua huko ananiambia hali halisi.
Achana na Sudan. Pakistan, Lebanon zilikua nchi nzuri kabla ya uislamu saiv? Shitholes... India next na nchi za ulaya...
Nambie nchi gani imeturn better baada ya kuadopt usilamu?
Saudi yenyew inadithch uislamu kimtindo halafu wanabribe nchi zipokee wakimbizi wakiislamu.
Haya, miss Saudi:
View attachment 2615878
Roho mtakatifu kila mtu anasema anae ndo maana Kuna dini 4566336 na madhehebu 58999743. Inaonyesha wote waongo tuSwahili Union Version 2 PET. 1:20-21 Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
Hivi unaijua 911....3000 people died pale marekani ndo mwanzo wa the new atheists movement na watu kuchukua dini. We unaishi nchi ambayo watu hawajilipui kisa bikra 72 so tulia huwezi elewaWanautumia Uislam kivipi..?
Yaani kwa mfano kama Vita inayoendelea Sudan unaweza kusema Uislam unatumika vipi pale?
Wewe binafsi Kwanini unaona Uislam sio kitu kizuri kabisa,kitu gani kibaya Uislam ushawahi kukusababishia labda?
Evolution Theory ni Imani tu,... Hiyo Assisted Evolution hatuoni kiumbe mpya au Mmea mpya Bali ni ule ule tu umeongezwa baadhi ya features.Kwanza unajua human assisted evolution ni nn?
Kama hujui, ni evolution inayofanywa na binadamu, basically. Au kwa ufasaha zaidi unaweza kuiita selective breeding. Hii imesaidia kupata breed mbalimbali za mboga na wanyama.
View attachment 2615891
Picha ya juu ni baada, ya chini ni kabla. Hio ni evolution ilivosudgestiwa na Darwin. Proof za hao ancestors wengine huwez kuzipata kwasababu ni kitu kimetokea muda mrefu uliopita, usikaze fuvu.
Kuna njia nyingine za kuprove...
View attachment 2615907
If humans could do it, inamaanisha hata kwa nature inaweza kuhappen
Una ushahidi 911 Uislam ulihusika?Hivi unaijua 911....3000 people died pale marekani ndo mwanzo wa the new atheists movement na watu kuchukua dini. We unaishi nchi ambayo watu hawajilipui kisa bikra 72 so tulia huwezi elewa
Aaah kdk ..bac yaishe...amini unachoamini. Maana at this point ni sawa na kuuliza unaushahidi Kama unaishi au unaota..stop being illogical. Acha kutetea dini uliyeletewa na muarabu ili akutawale sawa. Reality is Beautiful reality haina kutishiana amani kisa vitu vya kufikirika hells majini sijui. Freedom from ur mental slavery is a choice. Hamna mtu atakushikia upanga.Una ushahidi 911 Uislam ulihusika?
Halafu evolution isn't true kwako sawa. Haimaanishi Allah ndo wa ukweli. So why choose Allah instead. Kama huamini kitu Cha Imani bac usiamini uislamu.Evolution Theory ni Imani tu,... Hiyo Assisted Evolution hatuoni kiumbe mpya au Mmea mpya Bali ni ule ule tu umeongezwa baadhi ya features.
Hiyo ni tofauti kabisa na kudai kwamba Binadamu, Ndege na Chura wanatokana na Ancestor mmoja.
Sudan watu wamejificha msikitini. Hawapewi chakula bali maji tu.... walikua wanakutaka ukili kua "unakubali uislamu" ndio wanakuacha, wanakupeleka kwenye msikiti. Bila hivo unauawa....Wanautumia Uislam kivipi..?
Yaani kwa mfano kama Vita inayoendelea Sudan unaweza kusema Uislam unatumika vipi pale?
Wewe binafsi Kwanini unaona Uislam sio kitu kizuri kabisa,kitu gani kibaya Uislam ushawahi kukusababishia labda?
Hio sasa inahitaji muda kutokea...Evolution Theory ni Imani tu,... Hiyo Assisted Evolution hatuoni kiumbe mpya au Mmea mpya Bali ni ule ule tu umeongezwa baadhi ya features.
Hiyo ni tofauti kabisa na kudai kwamba Binadamu, Ndege na Chura wanatokana na Ancestor mmoja.
Unajua nini,... Usipende kuamini propaganda Mkuu.Aaah kdk ..bac yaishe...amini unachoamini. Maana at this point ni sawa na kuuliza unaushahidi Kama unaishi au unaota..stop being illogical. Acha kutetea dini uliyeletewa na muarabu ili akutawale sawa. Reality is Beautiful reality haina kutishiana amani kisa vitu vya kufikirika hells majini sijui. Freedom from ur mental slavery is a choice. Hamna mtu atakushikia upanga.
Hahhh, sawa.... Kwahiyo tumekubaliana Evolution Theory ni Imani?Halafu evolution isn't true kwako sawa. Haimaanishi Allah ndo wa ukweli. So why choose Allah instead. Kama huamini kitu Cha Imani bac usiamini uislamu.
Hiyo story ya Sudan mwenyewe umesema kwamba ni Hearsay kutoka kwa co-worker wako.... Sasa Ili uthibitishe yanayosemwa tuwekee habari kutoka chanzo chochote cha habari cha kuaminika.Sudan watu wamejificha msikitini. Hawapewi chakula bali maji tu.... walikua wanakutaka ukili kua "unakubali uislamu" ndio wanakuacha, wanakupeleka kwenye msikiti. Bila hivo unauawa....
Kwann naona uislamu sio mzuri? Kwasababu usilamu sio mzuri... angalia nchi ziliadopt uislamu, zinateketea. Zilikua vizuri kabla ya uislamu.
View attachment 2616034
Mara nyingi kwenye Evolution Theory inatumika phrase ''Its Believed that..... ". Kwasababu wanajua hiyo ni Imani na currently kuna vitu hawawezi kuthibitisha hivyo inabidi Imani itumike.Hio sasa inahitaji muda kutokea...
Evolution ya mbwa tu au ng'ombe (ambayo ndio iko recorded, kind of) ilitumia maelfu ya miaka. Sasa kitu cha billion years ago unataka upate proof gani? Halafu ukute hujui kutofautisha kati ya speculation na imani...