GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Kabla ya yote niwaambie wale wanaobet wasiwe na hofu kabisa
Moja ya mechi ambayo itawaduwaza washabiki wengi wa soka basi
ni hii ya leo dhidi ya Mwarabu ambaye anaenda kupigwa kwao.
Leo weka hata MKEO Yanga hafungwi abadani. Nitarudi hapa baada ya
mechi. Leo ni siku ambayo Fowadi ya Yanga itawaduwaza Watanzania Tena
ni maajabu ya Mwaka............. KESHO SIKU YA FURAHA.
Moja ya mechi ambayo itawaduwaza washabiki wengi wa soka basi
ni hii ya leo dhidi ya Mwarabu ambaye anaenda kupigwa kwao.
Leo weka hata MKEO Yanga hafungwi abadani. Nitarudi hapa baada ya
mechi. Leo ni siku ambayo Fowadi ya Yanga itawaduwaza Watanzania Tena
ni maajabu ya Mwaka............. KESHO SIKU YA FURAHA.