Naamka nakuta kaniblock

Hivyo tu unalialia! Je ungeamka ukajikuta amekuunga WhatsApp group la wajawazito?πŸ€”
 
Njemba imekuzidi KETE Mkuu URIE TU! 🀣🀣🀣

 
Kapepo kumbe dalili uliziona muda mrefu maskiini...
Ila mapenzi hujua kutu blind mpaka hatuoni reality..!!

Move on mwaya, wanaume 'tumeumbwa' mateso..!
 
Acha asitarehe na mpenzi wake bwana, atakutafuta tu baadae akishatoka kwa mpenzi wakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yani ukikuta kakublock na we li block Hilo likikuunblock likute limeblokiwa li mbwa hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…