Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,524
- 5,731
Nililia kipindi hicho mze now kwa kila linalotokea linanifurahisha tu hakuna maumivu mapya labda wa update.😅😅Eeh ni life tu babbii!😂
Chapa mwendo mzee usisubiri kuja kulia lia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nililia kipindi hicho mze now kwa kila linalotokea linanifurahisha tu hakuna maumivu mapya labda wa update.😅😅Eeh ni life tu babbii!😂
Chapa mwendo mzee usisubiri kuja kulia lia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aise.Leo asubuh kani unblock na kuishia kusalimiana tu hakuna kuulizana kimetokea nini jana usiku
Habari wakuu,
Nina mpenzi wangu ambaye nampenda kweli yaani, sasa tumeongea usiku huu kwenye saa mbili hivi akasema atanicheki, ikabidi nijipumzishe naamka usiku huu nakuta nimechezea block bila kujua nini chanzo dah, haya mapenzi haya dah [emoji1787]
Pole my kwa kukereka!!Mbona kama mimi 😂
Ila mie nimeongea nae usiku huu amenikera ndio maana nimemblock
Yani ukikuta kakublock na we li block Hilo likikuunblock likute limeblokiwa li mbwa hiloHabari wakuu,
Nina mpenzi wangu ambaye nampenda kweli yaani, sasa tumeongea usiku huu kwenye saa mbili hivi akasema atanicheki, ikabidi nijipumzishe naamka usiku huu nakuta nimechezea block bila kujua nini chanzo dah, haya mapenzi haya dah [emoji1787]