njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
jana Genta a.k.a popoma bobefu lilishusha exclusive kali kabisa ya mwaka kuhusu simba sc. likashusha points 7 matata sana za ndani ndani
Wakati nikiwa na digest exclusive hiyo nikapokea simu za washkaji wangu wa tawi la shinyanga na misungwi huko karibu na kolomije home to the greatest Daud Bashite wakiulizia kama nimeisoma nikwajibu yes, wakuliza unaamini? Nikasema yes kabisa Popoma Genta hakuna kitu lisilokijua nchi hii iwe muziki, siasa, michezo, uchumi yaani ni one man army
Mwisho wa mazungumzo yetu hayo tuka conclude kwamba next week tutafanya maandamno kumpongeza Popoma kwa kutuibia siri hizo 7 za nguvu.
Maandamano hayo yata demand vifuatavyo: MO DEWJI AONDOKE HARAKA, BARABARA AONDOKE, MANGUNGU AONDOKE, BAKHRESSA APEWE TEAM, MANARA ARUDISHWE, SENZO ARUDISHWE
zile exclusive siyo za nchii hii zina ukweli asilimia mia moja kwani baada ya popoma kuwasha moto jana fastafasta wakubwa huko msimbazi walikutana wakiwa katika hali ya taharuki kubwa
Simba hii miaka 4 ya Mo ni wastage of time tu bora achukue team Bakhressa kila mtu anaona azam fc inavyoendeshwa kisasa na mafanikio yake kama bus la kisasa
Senzo ni genius muda wake mchache alifanya makubwa sana simba, exclusive ya popoma imetuonyesha wapi panapovuja
Manara arudishwe haraka la sivyo tutashuka daraja
Popoma kawasha moto sisi tutamwagia petrol, VAYOLENSI IANZE HARAKA NA ITAANZIA MWANZA KWENYE MAANDAMANO
Wakati nikiwa na digest exclusive hiyo nikapokea simu za washkaji wangu wa tawi la shinyanga na misungwi huko karibu na kolomije home to the greatest Daud Bashite wakiulizia kama nimeisoma nikwajibu yes, wakuliza unaamini? Nikasema yes kabisa Popoma Genta hakuna kitu lisilokijua nchi hii iwe muziki, siasa, michezo, uchumi yaani ni one man army
Mwisho wa mazungumzo yetu hayo tuka conclude kwamba next week tutafanya maandamno kumpongeza Popoma kwa kutuibia siri hizo 7 za nguvu.
Maandamano hayo yata demand vifuatavyo: MO DEWJI AONDOKE HARAKA, BARABARA AONDOKE, MANGUNGU AONDOKE, BAKHRESSA APEWE TEAM, MANARA ARUDISHWE, SENZO ARUDISHWE
zile exclusive siyo za nchii hii zina ukweli asilimia mia moja kwani baada ya popoma kuwasha moto jana fastafasta wakubwa huko msimbazi walikutana wakiwa katika hali ya taharuki kubwa
Simba hii miaka 4 ya Mo ni wastage of time tu bora achukue team Bakhressa kila mtu anaona azam fc inavyoendeshwa kisasa na mafanikio yake kama bus la kisasa
Senzo ni genius muda wake mchache alifanya makubwa sana simba, exclusive ya popoma imetuonyesha wapi panapovuja
Manara arudishwe haraka la sivyo tutashuka daraja
Popoma kawasha moto sisi tutamwagia petrol, VAYOLENSI IANZE HARAKA NA ITAANZIA MWANZA KWENYE MAANDAMANO