Mkazamoyo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 1,495
- 2,543
Napenda sana uandishi wa njaakalihatari
Mtu kapigwa chenga za chama hapo kisha akalambishwa nyasi
😀😀😀
Mtu kapigwa chenga za chama hapo kisha akalambishwa nyasi
😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kmmmk walahi😅😅😅Vijembe vinaua? Sili Chakula?
Una mafua makali sanaUkioba unazungumzwa au unajadiliwa 24/7
Sawa Popoma ,tupa simu tukanywe bia sasaJamiiForums jua Wewe una Tunu ( Shani ) nyingi za Baraka kutoka Kwake Mwenyezi Mungu.
Hivi ulitegemea kabisa Dame Fool kama Wewe uwe Maarufu and Talk of the Forum kama Mimi? Kwa huo ( huu ) Utaahira ulionao wa Kurithishwa na waliopoteza muda Wao kukuleta Duniani au?
MImi ndiyo GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' sawa?
Na hapa bado Kudadadeki........!!!!!!!!!
HATA WEWE UMENITUHUMU?duhHuyo ni Genta mwenyewe. ana ID kama 800 hivi. Hana kazi,amejiajiri kwenye vijembe
nimefutaHATA WEWE UMENITUHUMU?duh
Hii kuitwa Popoma bobefu imekaajeMkuu Nashukuru na Akhsante kwa 'Credits' zako nyingi Kwangu ila tegemea kuanzia sasa kuambiwa kuwa hii ID yako ni Mimi GENTAMYCINE.
Kosa kubwa ulilolifanya hapa ni Kunisifia, Kusifia Uwezo wangu na uhakika wa yale yote Saba ( 7 ) niliyowaandikieni Jana.
Ukitaka Uzi wako Uchangamkiwe mno Nitukane au Nidhihaki au Nichafue au ponda sana Umaarufu wangu Uliotukuka ambao ni Chukizo kwa 'Critics' wangu.
Wote wawili Genta na hiyo mleta mada ni products za Kolomije pamoja na Bashite na Gwajiuno.Kuamini hizo "exclusives 7" za huyo popoma utakuwa na tatizo la udumavu wa akili, hauna kumbukumbu, na akili yako haina uwezo wa kuchambua mambo.
Kwa sababu hiyo sasa sishangai, kumbe ndio maana huko Kolomije mna kashfa za kufoji vyeti, nyie ni mapopoma wa hili taifa.
🤣🤣🤣🤣🤣Ndo maana haogopi BAN siku hizi ana IDs zaidi ya 10.ushasema popoma yuko popote kwa hiyo hata huu uzi kaandika mwenyewe na baadhi ya comment anajijibu.