Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
anatakiwa atibiwe amekula vyakula vimemletea maradhi hata akijiepusha kwa hivi sasa ni kazi bure atibiwe ili aweze kupona ndipo atakapo shauriwa kutokula vyakula vinavyo sababisha maradhi mwilini mwake.Ili kumsaidia zaidi, ni vyema ukamtajia hivyo vyakula ili aepukane navyo.