Naandamwa na Magonjwa mengi, furaha ya Maisha imeisha

Naandamwa na Magonjwa mengi, furaha ya Maisha imeisha

Tatizo lako litaisha ikiwa utadhibiti challenges za madonda ya tumbo, nimewahi kupata hali kama hiyo kwa sasa niko njema sana,jaribu kutibu changamoto hizo na mambo yote yatakwisha,
 
Labda tatizo ni unapambana sana na magonjwa. Na mambo mengine maisha, deadline, mahusiano etc.

Jaribu kuachana nayo kidogo.

Halafu focus kwenye kutafuta na kuiishi afya na kanuni za afya bora kwa wingi zaidi.

Punguza vita kadri iwezekanavyo, pumzika, ishi maisha.
 
Pole sana mwamba utakaa sawa,ila fanya haya Badilisha mfumo wako wa Maisha kuanzia kwenye msosi kula kama vile mgonjwa wa sukari anavyotakiwa kula punguza wanga mwilini.fanya mazoezi ya Mwili kila siku,kunywa maji yakutosha.usipige nyeto,usitazame video za porno
 
Pole san mkuu ,zingatia ushauri waliokupa wadau wa kupunguza vyakula vya wanga,sukari ,fanya sana mazoezi ya kutembea ,kunywa maji mengi ,pumzika vya kutosha ,kula matunda na mboga za majani kwa sana .
 
Habar wakuu,

Mimi ni kijana umri miaka 36, ni miaka Sasa nikiandamwa na maradhi ya Thyroids, bawasili, vidonda vya tumbo, mapigo ya moyo umeme mdundo kutangulia haraka, nguvu za kiume, mishipa midogo ya uume.

Furaha ya maisha kupotea ni mimi na kukimbizana hospitali.
Habari kaka,

Nakushauri tumia vitu vya asili kla siku.
1. Chemsha maji glasi mbili. Yakichemka weka majani ya mlonge yachemke dk 10. Halafu kunywa ikiwa vuguvugu

2. Majani ya mashona nguo, chemsha kunywa kama hapo juu.
Haya yatakusaidia kuimarisha kinga ya mwili wako

Kwa bawasiri anza kula ugali wa dona, usile sembe. Tumia sàna matunda na mboga za majani. Usisimame muda mrefu an kufanya kazi ya kukaa muda mrefu mfano bodaboda.
 
Mungu akutie Nguvu
Habar wakuu,

Mimi ni kijana umri miaka 36, ni miaka Sasa nikiandamwa na maradhi ya Thyroids, bawasili, vidonda vya tumbo, mapigo ya moyo umeme mdundo kutangulia haraka, nguvu za kiume, mishipa midogo ya uume.

Furaha ya maisha kupotea ni mimi na kukimbizana hospitali.
Tatizo lako kubwa ni mawazo, jitahidi uyashinde mawazo Kwanza mengine yatakwisha yenyewe...
 
Bado Hali yangu sio nzur
Pole sana...
Anza therapy ya kunywa maji ya uvuguvugu...kila asubuhi anza na nusu lita...unaweza kuweka chungwa au limao maji yake...jitahidi kila siku itaboost imunity yako..mwili utajenga kinga na kupambana na magonjwa yanayokusumbua...fanya hivyo huku ukiendelea na dawa ulizopewa...
In God we Trust...
 
Pole sana...
Anza therapy ya kunywa maji ya uvuguvugu...kila asubuhi anza na nusu lita...unaweza kuweka chungwa au limao maji yake...jitahidi kila siku itaboost imunity yako..mwili utajenga kinga na kupambana na magonjwa yanayokusumbua...fanya hivyo huku ukiendelea na dawa ulizopewa...
In God we Trust...
Sasa boss mim namdonda ya tumbo
 
Back
Top Bottom