NAANDIKA DISSERTATION/RESEARCH REPORTS/PROPOSAL/Conference PAPERS

NAANDIKA DISSERTATION/RESEARCH REPORTS/PROPOSAL/Conference PAPERS

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Salam wadau
Mimi ni mtanzania, pia nina Shahada ya Pili katika Management&Administration na pia najishughulisha na shughuli mbalimbali za utunzi wa vitabu na majarida ya kitaaluma (Academic Journal articles), kwa yeyote mwenye kuhitaji msaada wa kusaidiwa kuandikiwa/kuelekezwa jinsi ya kuandika Dissertation/Thesis, Research Report, Proposal na Conference paper kwenye area yoyote hususani kwenye area ya SOCIAL SCIENCES/HUMANITIES (Management, Administration, Development) please tuwasiliane (ani-PM)
 
Mwenye kuhitaji kuona kazi zangu ambazo nimesha-publish tayari katika Peer-revieved Journals anaweza kuni-PM and i'll be glad to share with him/her.
 
Mwenye kuhitaji kuona kazi zangu ambazo nimesha-publish tayari katika Peer-revieved Journals anaweza kuni-PM and i'll be glad to share with him/her.

wewe kwa uelewa wako unaona kwamba unachofanya unasaidia jamii yetu au unaiangamiza? hivi unafikiria nini na masters yako kuhamasisha watu wazembe wa kufikiri kama wewe waje kwako uwaandikie research paper na dissertation? how can we call that kind of initiative? is that constructive or destructive entrepreneurship? So what ukishamuandikia paper kwa ajili ya Journal, je ni wewe ndiyo utalipwa tena kwenda kudefend hizo dissertations? WATU KAMA WEWE MNATAKIWA KUPIGWA MAWE KWA KUCHANGIA KUZALISHA WATU WASIOTAKA KUJITUMA NA BADALA YAKE WANAFIKIRIA AKILI ZA KUHARIBU JAMII KAMA ZAKO.
 
Blessings, hongera sana. Ngoja niku-pm. Lakini sisitiza kuelekeza watu jinsi ya kuandika na sio kuwaandikia. Ujuzi hauzeeki.
 
Asante kwa responses! nilimaanisha kuelekeza jinsi ya kuandika na si kumuandikia mtu kimsingi sifanyi biashara bali ni katika kuelimisha jamii na kujenga jamii yenye kupenda kusoma/kufanya utafiti/kuandika/kuripoti matokeo ya utafiti. kiukwlei naumia jinsi watanzania tulivyo waoga katika kuandika/kuwasilisha matokeo ya utafiti katika mikutano na makongamano ya kimataifa so najaribu kuweka jitihada angalau kujenga uwezo kwa watanzania. NASISITIZA SIFANYI BIASHARA HUDUMA HII NI BURE kwa atakayehitaji na kwa muda maalum katika wiki maana nami nina ratiba binafsi so mlengwa itabidi akubaliane na ratiba zangu pia kwa kuanzia mtu anaweza kunitumia ABSTRACT ya kile anachotaka kukifanya then nitamjibu ndani ya siku 1 au 2 baada ya kuipitia hiyo ABSTRACT.
 
Salam wadau
Mimi ni mtanzania, pia nina Shahada ya Pili katika Management&Administration na pia najishughulisha na shughuli mbalimbali za utunzi wa vitabu na majarida ya kitaaluma (Academic Journal articles), kwa yeyote mwenye kuhitaji msaada wa kusaidiwa kuandikiwa/kuelekezwa jinsi ya kuandika Dissertation/Thesis, Research Report, Proposal na Conference paper kwenye area yoyote hususani kwenye area ya SOCIAL SCIENCES/HUMANITIES (Management, Administration, Development) please tuwasiliane (ani-PM)

nimeku pm, check your inbox.
 
Asante kwa responses! nilimaanisha kuelekeza jinsi ya kuandika na si kumuandikia mtu kimsingi sifanyi biashara bali ni katika kuelimisha jamii na kujenga jamii yenye kupenda kusoma/kufanya utafiti/kuandika/kuripoti matokeo ya utafiti. kiukwlei naumia jinsi watanzania tulivyo waoga katika kuandika/kuwasilisha matokeo ya utafiti katika mikutano na makongamano ya kimataifa so najaribu kuweka jitihada angalau kujenga uwezo kwa watanzania. NASISITIZA SIFANYI BIASHARA HUDUMA HII NI BURE kwa atakayehitaji na kwa muda maalum katika wiki maana nami nina ratiba binafsi so mlengwa itabidi akubaliane na ratiba zangu pia kwa kuanzia mtu anaweza kunitumia ABSTRACT ya kile anachotaka kukifanya then nitamjibu ndani ya siku 1 au 2 baada ya kuipitia hiyo ABSTRACT.

If at all this is what you meant then I am so sorry for my first comment to your first post. Thanks very much for your concern to our society.
 
ahsante mkuu mimi nitumie hints za research report
 
Asante kwa responses! nilimaanisha kuelekeza jinsi ya kuandika na si kumuandikia mtu kimsingi sifanyi biashara bali ni katika kuelimisha jamii na kujenga jamii yenye kupenda kusoma/kufanya utafiti/kuandika/kuripoti matokeo ya utafiti. kiukwlei naumia jinsi watanzania tulivyo waoga katika kuandika/kuwasilisha matokeo ya utafiti katika mikutano na makongamano ya kimataifa so najaribu kuweka jitihada angalau kujenga uwezo kwa watanzania. NASISITIZA SIFANYI BIASHARA HUDUMA HII NI BURE kwa atakayehitaji na kwa muda maalum katika wiki maana nami nina ratiba binafsi so mlengwa itabidi akubaliane na ratiba zangu pia kwa kuanzia mtu anaweza kunitumia ABSTRACT ya kile anachotaka kukifanya then nitamjibu ndani ya siku 1 au 2 baada ya kuipitia hiyo ABSTRACT.
Iko poa, hivi unaweza kuandika abstract ukashindwa kuandika research report?
 
asante Sana Kaka kwa response yako.duuh sijawahi kuona Mtanzania mwenye roho ya kusaidia kama wewe. maana nilikuwa sijui pa kuanzia
 
Salam wadau
Mimi ni mtanzania, pia nina Shahada ya Pili katika Management&Administration na pia najishughulisha na shughuli mbalimbali za utunzi wa vitabu na majarida ya kitaaluma (Academic Journal articles), kwa yeyote mwenye kuhitaji msaada wa kusaidiwa kuandikiwa/kuelekezwa jinsi ya kuandika Dissertation/Thesis, Research Report, Proposal na Conference paper kwenye area yoyote hususani kwenye area ya SOCIAL SCIENCES/HUMANITIES (Management, Administration, Development) please tuwasiliane (ani-PM)
Kwa nini asaidiwe na wewe.Wewe ni nani aliyekusaidia.
 
Pumbafu kabisa..unaandikiaje watu dissertation
 
Blessings ni kweli unamaanisha bure au unatania maana mimi namjua mtu anaitwa Kamalekki 0713711540 yeye ana-edit kwa page Tsh.5,000/= so ukiwa na page 120 (5,000x120=600,000/=) na anakula vichwa mwanzo-mwisho mpaka vingine anavikimbia sometimes anazima simu wiki nzima kuepusha usumbufu wa kutafutwa na "vilaza"
 
Blessings kafungue ofisi pale nje ya Mzumbe(Moro na Dar), Open University, UDOM na CBE utapata vichwa mwanzo-mwisho. maana mi-wanafunzi ya mule yote vilaza haijui hata kuandika sentensi moja ya kiingereza ikaanyooka sijui wanapataje hizo Digrii au ndo digrii za Chupi?
 
Mwenye kuhitaji kuona kazi zangu ambazo nimesha-publish tayari katika Peer-revieved Journals anaweza kuni-PM and i'll be glad to share with him/her.

Weka kazi zako hadharani kama kweli ni halali. kwa nini tuku pm ?
 
Asante kwa responses! nilimaanisha kuelekeza jinsi ya kuandika na si kumuandikia mtu kimsingi sifanyi biashara bali ni katika kuelimisha jamii na kujenga jamii yenye kupenda kusoma/kufanya utafiti/kuandika/kuripoti matokeo ya utafiti. kiukwlei naumia jinsi watanzania tulivyo waoga katika kuandika/kuwasilisha matokeo ya utafiti katika mikutano na makongamano ya kimataifa so najaribu kuweka jitihada angalau kujenga uwezo kwa watanzania. NASISITIZA SIFANYI BIASHARA HUDUMA HII NI BURE kwa atakayehitaji na kwa muda maalum katika wiki maana nami nina ratiba binafsi so mlengwa itabidi akubaliane na ratiba zangu pia kwa kuanzia mtu anaweza kunitumia ABSTRACT ya kile anachotaka kukifanya then nitamjibu ndani ya siku 1 au 2 baada ya kuipitia hiyo ABSTRACT.


bure bila malipo?
 
Back
Top Bottom