M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Salam wadau
Mimi ni mtanzania, pia nina Shahada ya Pili katika Management&Administration na pia najishughulisha na shughuli mbalimbali za utunzi wa vitabu na majarida ya kitaaluma (Academic Journal articles), kwa yeyote mwenye kuhitaji msaada wa kusaidiwa kuandikiwa/kuelekezwa jinsi ya kuandika Dissertation/Thesis, Research Report, Proposal na Conference paper kwenye area yoyote hususani kwenye area ya SOCIAL SCIENCES/HUMANITIES (Management, Administration, Development) please tuwasiliane (ani-PM)
Mimi ni mtanzania, pia nina Shahada ya Pili katika Management&Administration na pia najishughulisha na shughuli mbalimbali za utunzi wa vitabu na majarida ya kitaaluma (Academic Journal articles), kwa yeyote mwenye kuhitaji msaada wa kusaidiwa kuandikiwa/kuelekezwa jinsi ya kuandika Dissertation/Thesis, Research Report, Proposal na Conference paper kwenye area yoyote hususani kwenye area ya SOCIAL SCIENCES/HUMANITIES (Management, Administration, Development) please tuwasiliane (ani-PM)