je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Live dk 18 .Al ahly vs es setif
Huu mpira umechangamka sioni hawa mapacha wa mchongo hapa mjini wakikanyaga hata nusu fainal labda baada ya miaka 20 kupita kitakapo kuja kizazi kingine tofauti na sio hiki cha promo za uongo na tambo za hovyo pamoja na uchawi.
Huu mpira ni speed akili nyingi na uwezo katika hizi timu hakuna mchezaji wa level ya Mzamiru, Mhilu, Ambundo, wala job wala paul godfrey boxer, hivi kweli unataka kufika nusu fainal una nchezaji kama Yusuf Athuman, Mwamnyeto, Jimmison Mwanuke, Sure boy kweli? kweli?
Watanzania tuna masihara sana na mpira, tunaupenda lakin tunauzungumza mdomoni.
Aya ngoja niendeleee kuangalia huu mpira.
Huu mpira umechangamka sioni hawa mapacha wa mchongo hapa mjini wakikanyaga hata nusu fainal labda baada ya miaka 20 kupita kitakapo kuja kizazi kingine tofauti na sio hiki cha promo za uongo na tambo za hovyo pamoja na uchawi.
Huu mpira ni speed akili nyingi na uwezo katika hizi timu hakuna mchezaji wa level ya Mzamiru, Mhilu, Ambundo, wala job wala paul godfrey boxer, hivi kweli unataka kufika nusu fainal una nchezaji kama Yusuf Athuman, Mwamnyeto, Jimmison Mwanuke, Sure boy kweli? kweli?
Watanzania tuna masihara sana na mpira, tunaupenda lakin tunauzungumza mdomoni.
Aya ngoja niendeleee kuangalia huu mpira.