njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
wewe ni shabiki maandazi kuna asiyejua kwamba team pekee isiyotumia chupli chupli ni yanga sc pekee? afrika nzima inajua simba ni magumashi tangu mwaka 74 wanaingia nusu fainali klabu bingwa afrika kwa kupulizia sumu wapinzani na usajili wao mbovu wa mafungufungu
Dogo kwa uzuri tu naomba usiwe unani quote sina vinasaba na wapumbavu please