Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Acha kuwa mpuuzi! Mpira wa Tanzania ndio upo kwenye transition period kutoka kuwa burudani kwenda kuwa biashara!!. Ndio maana unaona uwekezaji ulipo Sasa ni TOFAUTI na miaka 10 nyuma. Upuuzi wa watanzania ni kudharau Cha kwao ili hali hawezi kuchangia timu yake hata kununua jezi original ya Tsh40,000.
Unataka timu iwe na mchezaji mwenye thamani ya billion wakati huo huwezi kuingia uwanjani hata kwa Tsh.10000?.
Unataka timu iwe na mchezaji mwenye thamani ya billion wakati huo huwezi kuingia uwanjani hata kwa Tsh.10000?.