Naangalia mpira hapa Alahly vs es setif. Hizi timu za hapa Tanzania zina safari ndefu sana ya kufikia hizi level za wenzetu CAF Champion League

wewe ni shabiki maandazi kuna asiyejua kwamba team pekee isiyotumia chupli chupli ni yanga sc pekee? afrika nzima inajua simba ni magumashi tangu mwaka 74 wanaingia nusu fainali klabu bingwa afrika kwa kupulizia sumu wapinzani na usajili wao mbovu wa mafungufungu
Dogo kwa uzuri tu naomba usiwe unani quote sina vinasaba na wapumbavu please
 

Hakika
 
Baada ya hapo akachukua kombe gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…