2011 Simba aliifunga 2-0 hiyo Serif,ugenini Simba akafungwa 3-1. Simba akaitoa Serif kwa goli la ugenini.
Simba alishaongoza kundi lenye Al Ahly .
1)Simba 13 points
2)Ahly 11 points
Pia msimu huo Simba aliifunga Kaiser 3-0 kwa mkapa.
Kaize baadaye ikakutane na Ahly fainali. Simba ikawa ndio timu pekee kuzifunga finalist wa msimu huo