Naanza kampeni ya kupambana na wahenga wa JF

Naanza kampeni ya kupambana na wahenga wa JF

wakuu nimkujaga humu chitchat kule mmu wanaboa saasa nimeanza kampeni kabambe ya kuvikera kuviuzi vizee vyote vya mmu na chitchat vinavyotaka vipewe ustaraabu sasa mutanitambua hasa huyu ushimene sijua na wenzake vinajifanya vikongwe etii haya ndo nimeanzaga sasa muniwlewe tyu tena xana xana
Andika kwa utulivu , alafu hakikisha umekula kwanza! Unywe na maji kabisa alafu ukimaliza anza kutafakari umeandika nini hapo

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
 
wakuu nimkujaga humu chitchat kule mmu wanaboa saasa nimeanza kampeni kabambe ya kuvikera kuviuzi vizee vyote vya mmu na chitchat vinavyotaka vipewe ustaraabu sasa mutanitambua hasa huyu ushimene sijua na wenzake vinajifanya vikongwe etii haya ndo nimeanzaga sasa muniwlewe tyu tena xana xana

Mwandiko wako unaonyesha dhahiri ubwabwa washingo bado haujakutoka.
 
Kwny avatar ww ndio umemkalia mzee ben?!
Screenshot_20170718-193000.png

Huyu mtoto wakike ni m-bobezi kwa wahenga....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
weka picha
 
Comrade Ushimen njoo huku

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Asante kwakuniita amigo...
Naona kuna binti ametuzimia na hasa mimi muhenga....[emoji39] [emoji39]
Hii bahati comrade.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hivi vizee enzi za jk viliitwa BABY
Now naona vimeshuka chati vinaitwa WAHENGA
pole yenu
 
Back
Top Bottom