Naanza kuamini Azam TV inaihujumu Azam FC!

Naanza kuamini Azam TV inaihujumu Azam FC!

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Leo VPL kituo cha Mbeya pana mechi kali na ya kuvutia kati ya Mbeya City na Azam FC lakini mpaka sasa saa kumi na moja na dakika tano kupitia Azam One wanaomba radhi eti technical difficulties zimesababisha mechi hiyo tusiione hali 'live'. Mmenikera mnoooooooooo.
 
Sasa hapo wanahujumu kivipi wakati mitambo imegoma..yani timu yake ashindwe kuionyesha labda siyo Bakhresa,ukiona wanaomba radhi ujue kweli kuna tatizo
Ngumu kuamini mkuu lakini kama mfuatiliaji wa Azam TV utaanza kupata mashaka tu.
 
Sidhani mkuu, nimeamua kuangalia mechi ya Mwadui FC na Stand United kule Mwadui.
Mimi baada ya Man U kufungwa, nimeamua kuweka mipira pembeni mpaka baadae usiku. Naangalia Movie sasa hivi na kuperuzi JF.
 
mmmhh wabongo mna fitnanyie mnafitinisha azam wenyewe kwa wenyewe
 
Au tukio la tetemeko limechangia?..,
Ndo cha kushangaza. Iweje mawasiliano yawe bomba kijijini Mwadui halafu yakosekane jijini Mbeya? Timu inaanza kuhujumiwa na wale kama wa Jangwani (kamati za ufundi zilizokuwa zinakataa mechi zao kuoneshwa hai).
 
Back
Top Bottom