Naanza kuamini kuna hujuma dhidi ya Rais Samia

Ahahhahaha, mama hafoki wala kutokwa povu. Yeye kashasema itafika kalamu yaani vitendo tu. Tena huyu ndo mbaya kuliko yule wa kufoka na vitisho. Ona alivyowaadabisha chama cha ukombozi mpaka wamepoteana. Na timh jiwe wote kama mbweha jangwani.
 
Mbona huja mlenga Siro jiwe la kichwa? Mwambie Mama kwamba Siro ni tatizo. Yeye na kikosi chake bado wana bambika watu kesi. Wana vamia mikutano ya ndani. Wana hujumu uchumi kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Kula kichwa chake
 
Ahahhahaha, mama hafoki wala kutokwa povu. Yeye kashasema itafika kalamu yaani vitendo tu. Tena huyu ndo mbaya kuliko yule wa kufoka na vitisho. Ona alivyowaadabisha chama cha ukombozi mpaka wamepoteana. Na timh jiwe wote kama mbweha jangwani.
Wanamchukulia poa sana Mama! Ngoja awanyooshe 🤣🤣
 
Mbona huja mlenga Siro jiwe la kichwa? Mwambie Mama kwamba Siro ni tatizo. Yeye na kikosi chake bado wana bambika watu kesi. Wana vamia mikutano ya ndani. Wana hujumu uchumi kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Kula kichwa chake
Kesi zinahujumu kivipi uchumi?
 
Mwendakuzimu wako akikutandika akiwa hai na bado anakutandika akiwa mfu!
Eti unasemaje? Mwendakuzimu wa nani? Yaani yule dhalimu unayekesha ukimsubiria afufuke? Kama ni huyo hafufuki ng’o!

Eti huko aliko i anatutandika! Acha utoto wewe mfuasi wa shetani, kama ni huyo mbona hivi sasa keshaoza huko Chato?

Adui wa taifa hili ni CCM, period!
 
Reactions: etb
Wana shida sana hawa chato gang
 
Reactions: etb
Mbona umeme bado unakatika hata sasa umeme umekatwa
 
Yere yere
 
Wise men wa makamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…