Taifa la wapumbavu, si bure Jomo Kenyata alimwambia Nyerere kwamba anatawala/anaongoza Maiti.
Maigizo ya kupumbavu sana haya, kama huyo Makonda anaona kuna mapungufu kwenye baadhi ya sheria kwa nini asiwasiliane na Bosi wake ili baadhi ya sheria zifanyiwe marekebisho makubwa sana kuwabana watendaji wazembe na kuleta uwajibikaji? hilo usha msikia anazunguzia?
Haya ni maigizo na wapumbavu mnakuja humu kusapoti ujinga.Ni Tanzania pekee kwenye hii sayari ya Dunia utakutana na huu ujinga wa kijima.
Si wako wengi Bungeni? kwa nini wasipeleke miswaada ya kutunga sheria mpya ili basi zisaidie uwajbikaji? Kwa hio nchi itaendeshwa kwa maigizo ya Makonda hadi mwisho wa Dunia au hadi Makonda atakapo kufa?
Yale yale maigizo ya Magufuri,badala kuimarisha mifumo yeye alikuwa anafanya maigizo haya iko wapi sasa?
Naumia sana kuona kiwango cha ujinga kwenye hili Taifa.