Tumetomber mwikobnyuma mashujas na haier kama kifungashio🐸 Tumeumiiaaaa sana 😫
Na ndio maana 🐸 tumeumia mnooo 😫[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kama kwa mpira ule wa leo unaisifia simba, basi we wa hovyo
Ila itajichanganya kumuacha.Simba imepata kocha
Wakipigwa game two na Yanga uwezekano wa kumuacha ni mkubwa ila pia kwa uchezaji wa Leo pale Liti Simba anaweza kupotezaIla itajichanganya kumuacha.
Aisee kweli Liti ni pagumu ila unaweza ukashangaa Singida wakapigwa kirahisi tu pia vilevile kama ambavyo wengi hawategemei iweWakipigwa game two na Yanga uwezekano wa kumuacha ni mkubwa ila pia kwa uchezaji wa Leo pale Liti Simba anaweza kupoteza
Hiyo inawezekana hasa kama wakiamua kufunguka wapishane na SimbaAisee kweli Liti ni pagumu ila unaweza ukashangaa Singida wakapigwa kirahisi tu pia vilevile kama ambavyo wengi hawategemei iwe
Ila naona kama dk za mwisho za 80 hivi ni kama Mashujaa walianza kufungukaHiyo inawezekana hasa kama wakiamua kufunguka wapishane na Simba
Leo kilichowasaidia mashujaa ni heshima kwa Simba kwa dk zote za mchezo hawakufunguka kabisa walipiga mid na low block ya hatari kupitia kwa Dunia lwenge
Na ndio walipokoseaIla naona kama dk za mwisho za 80 hivi ni kama Mashujaa walianza kufunguka
SanaaaAlikuwa super sub