Naanza kupata wasiwasi na Sandaland kama mtengenezaji wa jezi za Simba

Naanza kupata wasiwasi na Sandaland kama mtengenezaji wa jezi za Simba

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Tuweke kwanza pembeni ukweli kuwa huyu muuza nguo anayejiita Sandaland aliyewekwa front kwanza hajui kuvaa sasa sielewi inakuwaje anafanya biashara za nguo wakati anavaa kama Kibu Denis.

Twende kwenye mada kuu.....

Nikipitia kwa haraka jezi ya Simba iliyozinduliwa leo, kuna mambo mawili makubwa yaliyonishangaza.

Kwanza ni katika jezi nyekundu kwa nyuma, kama macho yangu hayajanidanganya nimeona maandishi makubwa ya 5 na 1. Sijui kama yalikuwa random. Niko tayari kukosolewa kama nimeona vibaya.

Pia, najua hili tayari ni lalamiko kwa wengi. Ni neno SANDA lililo kifuani mwa jezi. Mpaka nitakapoona hiyo brand ya Sanda ipo kwenye jezi ya timu ya taifa na ikakubaliwa na TFF, ndiyo nitaanza kufikiria kuwa hakuna nia ovu nyuma ya hili jina. Nadhani Simba haitakiwi kukubaliana na brand hii kwa sasa. Ni ama aondoe hilo jina katika jezi, abadilishe jina lake au mkataba wake uvunjwe.

Simba kama taasisi inatakiwa ifanye kazi na wazabuni ambao majina na shughuli zao hazihatarishi kwa namna yoyote ile ustawi wa brand ya Simba na sidhani kama brand ya Sanda inaendana na hili. Ukiacha ukakasi wa jina, pia inafungua milango ya wanasimba kukejeliwa na hiyo itahatarisha mauzo ya jezi. Tulivumilia "Sandaland" ambayo nayo kiukweli ilikuwa na ukakasi, ila huku alipofika kwenye SANDA siyo kabisa.
 
Inafikirisha sana kwamba mbunifu wa jezi ameona neno SANDA linafaa sana kwenye jezi🤔

Kakosa kingine isipokuwa SANDA imemfurahisha!

Basi kafungua code mapema izo SANDA zitawazika wenyewe kwenye nafasi ya 3 au ya 4 kwenye ligi, mlianza na jeneza Sasa mmeleta SANDA sio mbaya jeneza na SANDA uwa aviachani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Inafikirisha sana kwamba mbunifu wa jezi ameona neno SANDA linafaa sana kwenye jezi🤔
Kakosa kingine isipokuwa SANDA imemfurahisha!
Basi kafungua code mapema izo SANDA zitawazika wenyewe kwenye nafasi ya 3 au ya 4 kwenye ligi, mlianza na jeneza Sasa mmeleta SANDA sio mbaya jeneza na SANDA uwa aviachani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
SANDA FC
 
Jamani nataka kusema kitu kuhusu jezi za simba,hilo neno la SANDA lililofipishwa kwenye jezi za simba mwaka huu kutakuwa na kufuru sana,wengi tunajua kuwa SANDA huzishwa maiti,basi wanasimba atakaye vaa jezi hizo mpya litamkuta jambo??

Haina maana kupisha hivyo,neno lenyewe lina ukakasi sana kwa jamii.
Yangu macho
 
Tuweke kwanza pembeni ukweli kuwa huyu muuza nguo anayejiita Sandaland aliyewekwa front kwanza hajui kuvaa sasa sielewi inakuwaje anafanya biashara za nguo wakati anavaa kama Kibu Denis.

Twende kwenye mada kuu.....

Nikipitia kwa haraka jezi ya Simba iliyozinduliwa leo, kuna mambo mawili makubwa yaliyonishangaza.

Kwanza ni katika jezi nyekundu kwa nyuma, kama macho yangu hayajanidanganya nimeona maandishi makubwa ya 5 na 1. Sijui kama yalikuwa random. Niko tayari kukosolewa kama nimeona vibaya.

Pia, najua hili tayari ni lalamiko kwa wengi. Ni neno SANDA lililo kifuani mwa jezi. Mpaka nitakapoona hiyo brand ya Sanda ipo kwenye jezi ya timu ya taifa na ikakubaliwa na TFF, ndiyo nitaanza kufikiria kuwa hakuna nia ovu nyuma ya hili jina. Nadhani Simba haitakiwi kukubaliana na brand hii kwa sasa. Ni ama aondoe hilo jina katika jezi, abadilishe jina lake au mkataba wake uvunjwe.

Simba kama taasisi inatakiwa ifanye kazi na wazabuni ambao majina na shughuli zao hazihatarishi kwa namna yoyote ile ustawi wa brand ya Simba na sidhani kama brand ya Sanda inaendana na hili. Ukiacha ukakasi wa jina, pia inafungua milango ya wanasimba kukejeliwa na hiyo itahatarisha mauzo ya jezi. Tulivumilia "Sandaland" ambayo nayo kiukweli ilikuwa na ukakasi, ila huku alipofika kwenye SANDA siyo kabisa.
Simba ni maiti ndio maana mnavalishwa sanda
 
Tulia mbumbumbu
Kama wewe unajua tenda ilitangazwa kwanini hukuomba ukatengeneza zako Bora.
Wewe masikini kazi yako kubeza tu
Uliona wapi wametangaza tenda? Na sijasema jezi ni mbaya, nimetoa kasoro mbili tu ambazo zinarekebishika bila kuathiri design ya jezi.

Upungufu mwingine ni kutumia watu wanaojulikana kama vyura kutangaza bidhaa za Simba. Ilifanyika kwa Alikiba, Mwijaku (huyu simwamini na simkubali maana hana msimamo, popote upepo ulipo na yeye yupo). Na Uwoya nasikia naye ni chura ila anatumia kutangaza jezi za Simba. Mbona watu wa Simba wapo wengi tu, wapewe fursa wafaidike na timu yao. Simba mpaka leo wanapost vitu kwenye mitandao wanatumia nyimbo za Diamond. Kuna shida sehemu.
 
Uliona wapi wametangaza tenda? Na sijasema jezi ni mbaya, nimetoa kasoro mbili tu ambazo zinarekebishika bila kuathiri design ya jezi.

Upungufu mwingine ni kutumia watu wanaojulikana kama vyura kutangaza bidhaa za Simba. Ilifanyika kwa Alikiba, Mwijaku (huyu simwamini na simkubali maana hana msimamo, popote upepo ulipo na yeye yupo). Na Uwoya nasikia naye ni chura ila anatumia kutangaza jezi za Simba. Mbona watu wa Simba wapo wengi tu, wapewe fursa wafaidike na timu yao.
Wenye jezi ni sandaland kaandika aka yake ambayo ni sanda.
Wewe unaleta tafsiri zako.
Au ulitaka uandikwe wewe.
Wanaotangaza biashara wewe maisha Yao binafsi ya ushabiki yanakuhusu kikubwa wanaotangaza jezi zinauza sokoni.
Acha kuwa mbumbumbu
 
Uliona wapi wametangaza tenda? Na sijasema jezi ni mbaya, nimetoa kasoro mbili tu ambazo zinarekebishika bila kuathiri design ya jezi.
Screenshot_20240724_184541_Chrome.jpg


Mbona michakato ya kuwapata wakina sandaland ilikuwa wazi tu mwenye dau kubwa anashinda tender? Kuhusu hiyo sanda sioni shida si ni brand name. Mbona tulikuwa tunavaa fila bila kuhoji.
 
Mkuu usimlaumu sana jamaa huwenda nyie hamna pesa za kuchukua material t-shirt za bei nzuri huko china mkaamua mchukue za bei ya kati nyie watoto wa mujini 😎 mkaita ubaya ubwela sasa imekuwa ubaya ubwege Cc ephen_
Hapa hatuongelei material. Kwanza ukiniuliza mimi kwa muonekano design na material ni nzuri sana. Akiyafanyia kazi hayo mapungufu mawili hii jezi naweza kuipa 8/10.
 
Tuweke kwanza pembeni ukweli kuwa huyu muuza nguo anayejiita Sandaland aliyewekwa front kwanza hajui kuvaa sasa sielewi inakuwaje anafanya biashara za nguo wakati anavaa kama Kibu Denis.

Twende kwenye mada kuu.....

Nikipitia kwa haraka jezi ya Simba iliyozinduliwa leo, kuna mambo mawili makubwa yaliyonishangaza.

Kwanza ni katika jezi nyekundu kwa nyuma, kama macho yangu hayajanidanganya nimeona maandishi makubwa ya 5 na 1. Sijui kama yalikuwa random. Niko tayari kukosolewa kama nimeona vibaya.

Pia, najua hili tayari ni lalamiko kwa wengi. Ni neno SANDA lililo kifuani mwa jezi. Mpaka nitakapoona hiyo brand ya Sanda ipo kwenye jezi ya timu ya taifa na ikakubaliwa na TFF, ndiyo nitaanza kufikiria kuwa hakuna nia ovu nyuma ya hili jina. Nadhani Simba haitakiwi kukubaliana na brand hii kwa sasa. Ni ama aondoe hilo jina katika jezi, abadilishe jina lake au mkataba wake uvunjwe.

Simba kama taasisi inatakiwa ifanye kazi na wazabuni ambao majina na shughuli zao hazihatarishi kwa namna yoyote ile ustawi wa brand ya Simba na sidhani kama brand ya Sanda inaendana na hili. Ukiacha ukakasi wa jina, pia inafungua milango ya wanasimba kukejeliwa na hiyo itahatarisha mauzo ya jezi. Tulivumilia "Sandaland" ambayo nayo kiukweli ilikuwa na ukakasi, ila huku alipofika kwenye SANDA siyo kabisa.
Jina la Sanda ndio jina lake rasmi, na hata magari yake ya kifahari ameyawekea special number hiyo ya SANDA. Hilo neno LAND la mbele aliliongeza tu kama kukoleza brand yake
 
Hapa hatuongelei material. Kwanza ukiniuliza mimi kwa muonekano design na material ni nzuri sana. Akiyafanyia kazi hayo mapungufu mawili hii jezi naweza kuipa 8/10.
Sasa kama kimuonekano unaona sawa kwa nini uwe na jealous na mtengeneza jeza Cc ephen_
 
Jina la Sanda ndio jina lake rasmi, na hata magari yake ya kifahari ameyawekea special number hiyo ya SANDA. Hilo neno LAND la mbele aliliongeza tu kama kukoleza brand yake
Embu muelimishe jamaa 😁😁😁🤣😂
 
Wachuuzi wa Guangzhou huku bongo wanaitwa wabunifu wa jezi 😂😂

Mleta mada weka picha ya jezi sote tuone
 
Back
Top Bottom