Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Simba club kubwa lakini bado inafanya mambo ya kishamba sana sidhani kama inatambua thamani yake aise.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nashangaa wanakuja na hoja nyepesi eti ndiyo jina lake au eti ameweka kwenye magari yake ya kifahari, kwa hiyo?Upumbavu huu.
Kwa hiyo kama gari ameweka special number ya SANDA ndiyo itufanye sisi tukubali kuvaa Sanda?
Hivi ukikuta bus limesajiliwa kwa jina " JENEZA unadhani litapata abiria?
Au liandikwe MORTUARY halafu lipate abiria!!?
FILA ina maana gani?Zenye neno fila wanavaa na hawahoji, ila mtanzania wanamwekea uzito, yaani huyo mbumbumbu amzidi uchungu wa pesa yake sandaland aliyewekeza
Mkuu hapo kwenye fila usifoke sanaView attachment 3051051
Mbona michakato ya kuwapata wakina sandaland ilikuwa wazi tu mwenye dau kubwa anashinda tender? Kuhusu hiyo sanda sioni shida si ni brand name. Mbona tulikuwa tunavaa fila bila kuhoji.
Kwenye material sio issue sana,kaleta kulingana na uwezo wa wateja. Vipi kuhusu sanda? Ina maana hakujiuliza hata kidogo tu kama inaweza kumletea shida?Mkuu usimlaumu sana jamaa huwenda nyie hamna pesa za kuchukua material t-shirt za bei nzuri huko china mkaamua mchukue za bei ya kati nyie watoto wa mujini 😎 mkaita ubaya ubwela sasa imekuwa ubaya ubwege Cc ephen_
😂😂😂😂 akili za maskini bhana kwahyo ukiwa mfanya biashara wa nguo ujue kuvaa na ni kuvaa gani huko asikojua jamaa kwamba shati anavaa miguuni suruali kichwani au.....Tuweke kwanza pembeni ukweli kuwa huyu muuza nguo anayejiita Sandaland aliyewekwa front kwanza hajui kuvaa sasa sielewi inakuwaje anafanya biashara za nguo wakati anavaa kama Kibu Denis.
Kaka si jina lake ni sandalandi kajifupisha kajiita sanda ila naskia msimu huu ndio mkataba wake na Simba unamalizikaKwenye material sio issue sana,kaleta kulingana na uwezo wa wateja. Vipi kuhusu sanda? Ina maana hakujiuliza hata kidogo tu kama inaweza kumletea shida?
Haendani na anachouza. Sina hiana naye na namtakia kila la kheri katika shughuli zake. Ni ukosoaji wenye nia ya kujenga, atanisamehe kama nimetumia lugha ya ukali, ni katika kuweka msisitizo tu katika hoja.😂😂😂😂 akili za maskini bhana kwahyo ukiwa mfanya biashara wa nguo ujue kuvaa na ni kuvaa gani huko asikojua jamaa kwamba shati anavaa miguuni suruali kichwani au.....
unataka kuniambia leo anayefanya biashara ya samaki pale ferry ni lazima ajue kuvua samaki?
wabongo msiwe wajinga kwa kula ugali...... neno SANDA linamaana nyingi na usitake kuniambia ww tu mleta mada ndio una uchungu kuliko mwenye brand yake mpka kuona kakosea kuandika...
punguza chuki umaskini wako usiushupaze kwenye akili utapata ukichaa
Kwani Kumalija kifupi inakuwaje 😅😅😅Yaani mtu anaitwa KUMALIJA aamue kulifupisha jina lake kwa kuondoa herufi nne za mbele tuone ni sawa tu?
Kule Usukumani hili jina KUMALIJA lipo sana ila huwezi kuwasikia wamelifupisha maana wanajua madhara yake.
Sandaland ajiandae kuzivaa hizo jezi yeye mwenyewe. Shwaini!
Jaribu tu kuondoa herufi nne za mbele uone kinatokea nini.Kwani Kumalija kifupi inakuwaje 😅😅😅
Sikulazimishi kuamini, ila mimi najua Mkurugenzi wa Sandaland (sio Sunderland) anaitwa Sanda Omary YengaUpumbavu huu.
Kwa hiyo kama gari ameweka special number ya SANDA ndiyo itufanye sisi tukubali kuvaa Sanda?
Hivi ukikuta bus limesajiliwa kwa jina " JENEZA unadhani litapata abiria?
Au liandikwe MORTUARY halafu lipate abiria!!?
Kama mkataba unampa uhuru wa kutangaza moja ya bidhaa zake, atakuwa sahihi tu. Hata akiamua kuitumia nafasi aliyopewa kwenye jezi kuitangaza GSM, ni sawa tu. Mkataba uheshimiweKwa hiyo msimu ujao akiamua kutumia jina lake hilo la mwisho katika jezi ya Simba yote shega si ndiyo?
Umeamua kujitoa ufahamu ila umesisitiza keyword hapo ni "mkataba". Na mimi hoja yangu ilikuwa mkataba wa aina hii kwa taasisi yoyote makini lazima uwe na vipengele vya kuilinda taasisi dhidi ya mabadiliko yoyote ya kiutendaji, umiliki au kisheria ya upande wa pili yanayoweza kuhatarisha ustawi wa brand ya taasisi. Nitashangaa sana kama vipengele hivyo havipo katika mkataba wa Simba na Sandaland.Kama mkataba unampa uhuru wa kutangaza moja ya bidhaa zake, atakuwa sahihi tu. Hata akiamua kuitumia nafasi aliyopewa kwenye jezi kuitangaza GSM, ni sawa tu. Mkataba uheshimiwe