Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..😊😊wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalaki😁😁..wengine ndo kama sisi tu naona maruweruwe😆😆basi mradi tabu tu kuumizana vichwa.woooote salamu ziwafikie.
Hiyo ilikuwa ni salamu tu🤓🤓ngoja ni rudi kwenye uzi.
Jaman msijesema sikusema mapema,,naanza kupokea zawadi,mialiko ya lanchi na dina siku hiyo..
🥂🥂🥂🥂🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Hiyo ilikuwa ni salamu tu🤓🤓ngoja ni rudi kwenye uzi.
Jaman msijesema sikusema mapema,,naanza kupokea zawadi,mialiko ya lanchi na dina siku hiyo..

🥂🥂🥂🥂🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️