Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu screenshot fasta
Can't wait
Njoo uchukue mpendwaNatumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..[emoji4][emoji4]wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalaki[emoji16][emoji16]..wengine ndo kama sisi tu naona maruweruwe[emoji38][emoji38]basi mradi tabu tu kuumizana vichwa.woooote salamu ziwafikie.
Hiyo ilikuwa ni salamu tu[emoji851][emoji851]ngoja ni rudi kwenye uzi.
Jaman msijesema sikusema mapema,,naanza kupokea zawadi,mialiko ya lanchi na dina siku hiyo..View attachment 1646515
[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Umeona eeh,,, ndio hivyo mkuuTufurahishane tu wakuu maisha yenyewe mafupi haya..tukiwa wazima tumwambie Mungu Asante