Ujambazi ni kufanya unyangโanyi kwa kutumia nguvu na mabavu.Sasa hii ndio tafsiri halisi na halali ya "UJAMBAZI WA BILA KUTUMIA SILAHA".
Hapo mwisho ungemalizia "WAHI SASA MAPEMA, KUEPUKA FOLENI".
Hahahaa,,, acha zako bibie! Unanikumbusha yule jamaa alisema subira haivuti nyagiSubiria huvuta mawe siku hizi mkuu
Kila kitu itakuwepo mankaaa usiqe na wasiwasiUsije ukashangaa mimi ndo nakuhesabu[emoji28][emoji28][emoji28]
Kutakuwa kuna dadii,mbege na changโaa mkuu
Mkuu, naona kila dalili utaishia "KOLOKOLONI" halafu gereza litakuita, TRA watakuomba "RISITI ZA MALIPO YA KODI" kwa kipato utakachovuna na huduma utakazotoa.
Si unajua TRA wameanzisha mpaka "KODI YA VITANDA", kwa lugha yao ya Malkia Elizabeti eti wanaiita "BED LEVY".
Karibu sana, usafiri pia ni buree kabisaaWacha bhana....
Umemaliza mkuu ๐๐๐ cha ajabu funguo za strong room unaweza usikabidhiwe.Sasa hii ndio tafsiri halisi na halali ya "UJAMBAZI WA BILA KUTUMIA SILAHA".
Hapo mwisho ungemalizia "WAHI SASA MAPEMA, KUEPUKA FOLENI".
Ahaa basi ntakupokea airpot, au tuite ungopot kabisaNinausafiri wa ungo mkuu usijali nitawahi kufika
Umeanza mabalaa basta hebu lala huko.mbembeleze wifi uko..Umemaliza mkuu ๐๐๐ cha ajabu funguo za strong room unaweza usikabidhiwe.
Extrovert nimeshaediti hizo pesa pesa tatu hapo mizizi ya kichwa ikupoe sana๐๐๐๐Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..๐๐wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalaki๐๐..wengine ndo kama sisi tu naona maruweruwe๐๐basi mradi tabu tu kuumizana vichwa.woooote salamu ziwafikie.
Hiyo ilikuwa ni salamu tu๐ค๐คngoja ni rudi kwenye uzi.
Jaman msijesema sikusema mapema,,naanza kupokea zawadi,mialiko ya lanchi na dina siku hiyo..View attachment 1646515
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ