Natumai usiku wenu kwa sasa ni mzuri,wengine wanafanya maandalizi ya kupiga game ili Walale wakiwa wamekumbatiana..[emoji4][emoji4]wengine haijulikabmni kama wako kitandani au uwanja wa mpira maana kila mtu kageukia upande wa dunia yake visirani na gubu vimetamalaki[emoji16][emoji16]..wengine ndo kama sisi tu naona maruweruwe[emoji38][emoji38]basi mradi tabu tu kuumizana vichwa.woooote salamu ziwafikie.
Hiyo ilikuwa ni salamu tu[emoji851][emoji851]ngoja ni rudi kwenye uzi.
Jaman msijesema sikusema mapema,,naanza kupokea zawadi,mialiko ya lanchi na dina siku hiyo..
View attachment 1646515
[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]