KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Nafatilia IDs zako zote nizifungie akili ikukae mbususu weweFanya upesi nipeleke huko Segerea na bahati nzuri sijawahi kuogopa Jela / Segerea.
Pumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafatilia IDs zako zote nizifungie akili ikukae mbususu weweFanya upesi nipeleke huko Segerea na bahati nzuri sijawahi kuogopa Jela / Segerea.
Pumbavu.
Acha uchawi dogoPole sana Kipa Msheri vumilia hadi Yanga SC itinge Fainali ya CAFCC leo ichukue na Ubingwa utapona kabisa tatizo lako lisilotibika Hospitali huku Ugonjwa wako ukifichwa na Suala lako likifichwa kwa kila namna ili lisijadiliwe kwani Kuugua Kwako huko ni Mkakati Maalum wa Babu ili mwaka huu Timu ifanye Maajabu makubwa Afrika baada ya Viongozi Kukataa Kujitoa Sadaka ya Umauti kwa Mafanikio ya Timu.
Moderatora Active, Moderator na JamiiForums nirekebishieni hapo katika mwaka ni CAFCC 2023 na siyo hiyo CAFCC 2003. Nitawashukuru.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.
Ahahahahah mnanikumbusha utotoni swaga hiz😂😂Alafu mama ako anafuata