Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

adonack

Member
Joined
May 16, 2021
Posts
55
Reaction score
24
Ndugu zangu tusaidiane swaga apa kidogo.

Leo ofisini kuna msichana alikuja, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuona pale. kwa ule uzuri nikashindwa hata kusalimia sasa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzaje.
 
Unahisi unataka kufanyaje? Kama huwezi kuhisi bhas achana naye huna hisia na yeye
 
Nduguu zanguu tusaidianee swagaa apa kidogo. Leo ofisini kuna msichana alikujah, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuonaa palee. kwa ule uzurii nikashindwa ata kusalimiaa sasaa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzajee
Mtumie milion
 
Ndugu zangu tusaidiane swaga apa kidogo.

Leo ofisini kuna msichana alikuja, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuona pale. kwa ule uzuri nikashindwa hata kusalimia sasa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzaje.
Umeanza Kuvuta lini Bangi za Blantyre?
 
Duuh!! Tukisema wanaume mnazidi kupungua huwa hamtaki sasa hebu ona yaani hadi kumtokea mtu unakuja huku wanaume wenzio ndo wakupe mistari. Lol
 
Mwambie nimekufananisha you look very familiar tulionana wapi? Halafu mwache mwenyewe auvae mkenge. Kisha unachukua nafasi yako husika kama si domo zege. 😜
Ndugu zangu tusaidiane swaga apa kidogo.

Leo ofisini kuna msichana alikuja, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuona pale. kwa ule uzuri nikashindwa hata kusalimia sasa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzaje.
 
Back
Top Bottom