Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

Mkuu usipate tabu. Nitumie namba inbox. Namwandaa kila kitu wewe unaenda kunamalizia. Huduma hii ni bure. Wahi sasa.
 
Tuma kama 500k kimakosa halafu rudisha mumala. Baada ya dk 5 hivi mtumie 10k tu mwambie pole kwa usumbufu.
Akikutafuta songa naye, akikausha jua huyo jambazi mwenzio.

Halafu hizo tabia za kutongoza wateja huwa hatusemi asilani. Sasa wewe imekuwaje?
 
Mkuu uko ofisi gani. Ni ya serikali au ni private?
 
Back
Top Bottom