Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

kama salaam ulishindwa, sikushauri ulianzishe mdau!

ila kama unaamini game lako, jitumbuize tu!
 
Ndugu zangu tusaidiane swaga apa kidogo.

Leo ofisini kuna msichana alikuja, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuona pale. kwa ule uzuri nikashindwa hata kusalimia sasa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzaje.
Niliwahi kuhisi kama malimbukeni wa type hii walishaisha kumbe bado tunao.Yaani mtu akiongelea kutongoza sijui namuonaje mimi?.Kwani lazima kila mwanamke mzuri umtongoze
 
Haki hujampenda. Umemtamani. Mpaka ujue kama ni aina ya mtu unayemtaka hapo ndipo unapenda.
 
Hadi mtongozo unaomba msaada mkuu? Siku utaomba msaada hadi jinsi ya kula mbususu wewe🤔, be a man funguka umempenda kwani atakupiga?
 
Hadi mtongozo unaomba msaada mkuu? Siku utaomba msaada hadi jinsi ya kula mbususu wewe🤔, be a man funguka umempenda kwani atakupiga?
ha ha ha mwanzo huwa ni mgumu,ila wakishazoeana na kuchapana sana,na mambo ya kulipa bili/mizinga yakianza....lazima waanze kukimbiana
 
Mtumie sms ukionyesha imeenda kwake kimakosa,mfano ukiigiza kumshtumu rafiki yako x , '' We x mambo vipi, nakumbushia deni langu lile ulilochukua spea za gari yako ofisini kwangu, mwezi wa tatu huu hutaki kunilipa; nakuomba ujitahidi kunilipa nisijekufirisika kwenye biashara yangu.'' baada ya kuituma tulia,kama hakuna 'reaction' yoyote,baada ya masaa 3 kupita,jaribu kumkumbusha tena kwa sms........ukiona kimya baada ya nusu saa kupita,piga simu....na akipokea nadhani atasema umekosea namba,sasa hapo muombe samahani na anza kuanzisha uhusiano. Hakuna 'ke' anayependa shida
 
Back
Top Bottom