1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Nimeona umempa mbinu nyiiiingi hapo chini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu anahitaji pasi ya mwisho
Au ajiangushe ktk 18
.apate penati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona umempa mbinu nyiiiingi hapo chini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha kumtongoza mke wangu aisee!.
Niliwahi kuhisi kama malimbukeni wa type hii walishaisha kumbe bado tunao.Yaani mtu akiongelea kutongoza sijui namuonaje mimi?.Kwani lazima kila mwanamke mzuri umtongozeNdugu zangu tusaidiane swaga apa kidogo.
Leo ofisini kuna msichana alikuja, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuona pale. kwa ule uzuri nikashindwa hata kusalimia sasa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzaje.
Hahahaah ile ya chamaa...kagereeeeeeeeeeNimeona umempa mbinu nyiiiingi hapo chini.
Huyu anahitaji pasi ya mwisho
Au ajiangushe ktk 18
.apate penati
EwaaaahHahahaah ile ya chamaa...kagereeeeeeeeee
Kwa nini isiwe 5000Tuma laki, then jifanye umekosea namba.
Yani Mimi ninayeenda straight to the point na wewe unayeomba msaada huku jamvini Mimi ndio Domo zege?!Duuuh udomo zegee huu
Atatumia mifukoUKIMWI UPO NA UNAKILL.
CHUKUA TAHADHARI
ha ha ha mwanzo huwa ni mgumu,ila wakishazoeana na kuchapana sana,na mambo ya kulipa bili/mizinga yakianza....lazima waanze kukimbianaHadi mtongozo unaomba msaada mkuu? Siku utaomba msaada hadi jinsi ya kula mbususu wewe🤔, be a man funguka umempenda kwani atakupiga?
Aah ajitahidi kumwambia ukweli tu hamnaga fimbo😀😀ha ha ha mwanzo huwa ni mgumu,ila wakishazoeana na kuchapana sana,na mambo ya kulipa bili/mizinga yakianza....lazima waanze kukimbiana