Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

Naanzaje kumtongoza huyu msichana aliyekuja ofisini kwetu?

Mpigie muambie umeona namba yake ya simu imekosewa so we muambie tu asije afisini utamfuata ukiwa na daftr la mahudhurio kwajili ya kumrekebishia, huko sasa we maliza kila kitu
 
Mpigie muambie umeona namba yake ya simu imekosewa so we muambie tu asije afisini utamfuata ukiwa na daftr la mahudhurio kwajili ya kumrekebishia, huko sasa we maliza kila kitu
Hahahah haya bhana
 
Ndugu zangu tusaidiane swaga apa kidogo.

Leo ofisini kuna msichana alikuja, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuona pale. kwa ule uzuri nikashindwa hata kusalimia sasa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzaje.
Na ukute Boy wake anam-stress mbona dodo hilo jamaa yangu, liwahi!!
 
Kama unajina lakee

Na kama ulinotice vitu kwake yaan kuanzia Mwonekano, sura n.k

Mtext...

Hey mwanamke mwenye Macho mazuri, its me ......., nmekuona kazin leo ila kwakua nilikua na ubize na wewe unaharaka nikaona niishie kukutizama tu jinsi gan Ulivyoumbika hasa Miguu yako . By the way namba yako nmeichukua kwa Maudhurio.


Atajaaa..

Jamaan jamaaan khaaaaaaa ,mbona mimi sijakufaham??


(jipe taiziii) ..mkaka fulan ivi nilivaa shati la....na kadet ya rangi yaaaa,..mweusi, mrefu...n.k..mbona tulipishana na ukaniangaliaa sana dizain km unanifaham?? Umeshanikumbuka????



Atajibu.... Mmmmmhhhhh mbona bado sijakukumbuka jamaan


Unakomaa....... usijali JANE ukiniona utanikumbuka tu , ila daaah hongera sana


Atakuuliza .... Hongera yann???

Unajibu...... Ulipendelewa kwenye kuumbwa JANE maana hilo umbo hasahasa kiuno, miguu yako, hips, makalioo, suraa, ni uliumbika... Hivi siunafanya wanawake wenzako wakuonee wivu jaman???


Kabla hajajibu..... Umtumie hiiii

""Yaan aki ya Mama, wewe naweza kunywa maji yako uliyoogea maana you are so fine , na ningekua jamaa wako, ningekua nakulamba na ulimi kila mahali mwili mwako"


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kivyovyote vile...MULE KIMASIHARA.
 
Kama unajina lakee

Na kama ulinotice vitu kwake yaan kuanzia Mwonekano, sura n.k

Mtext...

Hey mwanamke mwenye Macho mazuri, its me ......., nmekuona kazin leo ila kwakua nilikua na ubize na wewe unaharaka nikaona niishie kukutizama tu jinsi gan Ulivyoumbika hasa Miguu yako . By the way namba yako nmeichukua kwa Maudhurio.


Atajaaa..

Jamaan jamaaan khaaaaaaa ,mbona mimi sijakufaham??


(jipe taiziii) ..mkaka fulan ivi nilivaa shati la....na kadet ya rangi yaaaa,..mweusi, mrefu...n.k..mbona tulipishana na ukaniangaliaa sana dizain km unanifaham?? Umeshanikumbuka????



Atajibu.... Mmmmmhhhhh mbona bado sijakukumbuka jamaan


Unakomaa....... usijali JANE ukiniona utanikumbuka tu , ila daaah hongera sana


Atakuuliza .... Hongera yann???

Unajibu...... Ulipendelewa kwenye kuumbwa JANE maana hilo umbo hasahasa kiuno, miguu yako, hips, makalioo, suraa, ni uliumbika... Hivi siunafanya wanawake wenzako wakuonee wivu jaman???


Kabla hajajibu..... Umtumie hiiii

""Yaan aki ya Mama, wewe naweza kunywa maji yako uliyoogea maana you are so fine , na ningekua jamaa wako, ningekua nakulamba na ulimi kila mahali mwili mwako"


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kivyovyote vile...MULE KIMASIHARA.
Duuuh boss hizi nimezielewa
 
Duuuh boss hizi nimezielewa
Fanya ivo.

Wanawake wana vitu ambavyo ukivitumia, Unaingia kichwan mwao chapchap na unamla chapchap..akija kutulia tayari umeshamla.


[emoji117]TAJA JINA LAKE( Kwenye kuchat au kuongea, penda kuchomekea jina lake, ila isiwe sanaaaa)

[emoji117]MPE SIFA UKIZITUMIA KOKAMANDI...( Jane wee ni mwanamke Mkarimu sanaa na mwenye roho ya utu, najua siku moja utanipa muda tukae pamoja).... Hapa umetaja jina...umemsifia..umetoa komandi ( Hii komandi ,itaaka kichwan mwake, ataitekeleza na the reason yakuitekeleza, niyeye kuhofia kuonekana SIO MKARIMU NA HANA ROHO YA UTU.

[emoji117]Ukimchatishaa chatisha....sentensi zako ziwe na neno ..KWA SABABU....


Mf.... JANE nahitaj tukae mahali tukiwa wawili tu ,KWA SABABU kuna mambo mengi juu yako nataman niyajue. Uzuri wa Macho yako umeniongezea msamiat katika maisha yangu.



NB..KWAKUA HUNA UHAKIKA KAMA ANA BWANA WAKE AU.LAH......( KUMBUKA HAPO JUU, ULICHOMEKEA )

P[emoji117][emoji117] MTONGOZE KIMASIHARA MASIHARAAA, USIWE SERIOUS SANAAA, NA PIA USITAFUTE KUJUA MAISHA YAKE YA KIMAHUSIANO KAMA ANA BWANA AU LAH....MPAKA PALE ATAKAPOJITEKENYA MWENYEWE.
 
Kama unajina lakee

Na kama ulinotice vitu kwake yaan kuanzia Mwonekano, sura n.k

Mtext...

Hey mwanamke mwenye Macho mazuri, its me ......., nmekuona kazin leo ila kwakua nilikua na ubize na wewe unaharaka nikaona niishie kukutizama tu jinsi gan Ulivyoumbika hasa Miguu yako . By the way namba yako nmeichukua kwa Maudhurio.


Atajaaa..

Jamaan jamaaan khaaaaaaa ,mbona mimi sijakufaham??


(jipe taiziii) ..mkaka fulan ivi nilivaa shati la....na kadet ya rangi yaaaa,..mweusi, mrefu...n.k..mbona tulipishana na ukaniangaliaa sana dizain km unanifaham?? Umeshanikumbuka????



Atajibu.... Mmmmmhhhhh mbona bado sijakukumbuka jamaan


Unakomaa....... usijali JANE ukiniona utanikumbuka tu , ila daaah hongera sana


Atakuuliza .... Hongera yann???

Unajibu...... Ulipendelewa kwenye kuumbwa JANE maana hilo umbo hasahasa kiuno, miguu yako, hips, makalioo, suraa, ni uliumbika... Hivi siunafanya wanawake wenzako wakuonee wivu jaman???


Kabla hajajibu..... Umtumie hiiii

""Yaan aki ya Mama, wewe naweza kunywa maji yako uliyoogea maana you are so fine , na ningekua jamaa wako, ningekua nakulamba na ulimi kila mahali mwili mwako"


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kivyovyote vile...MULE KIMASIHARA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mtaalam mwenyewe.
 
Fanya ivo.

Wanawake wana vitu ambavyo ukivitumia, Unaingia kichwan mwao chapchap na unamla chapchap..akija kutulia tayari umeshamla.


[emoji117]TAJA JINA LAKE( Kwenye kuchat au kuongea, penda kuchomekea jina lake, ila isiwe sanaaaa)

[emoji117]MPE SIFA UKIZITUMIA KOKAMANDI...( Jane wee ni mwanamke Mkarimu sanaa na mwenye roho ya utu, najua siku moja utanipa muda tukae pamoja).... Hapa umetaja jina...umemsifia..umetoa komandi ( Hii komandi ,itaaka kichwan mwake, ataitekeleza na the reason yakuitekeleza, niyeye kuhofia kuonekana SIO MKARIMU NA HANA ROHO YA UTU.

[emoji117]Ukimchatishaa chatisha....sentensi zako ziwe na neno ..KWA SABABU....


Mf.... JANE nahitaj tukae mahali tukiwa wawili tu ,KWA SABABU kuna mambo mengi juu yako nataman niyajue. Uzuri wa Macho yako umeniongezea msamiat katika maisha yangu.



NB..KWAKUA HUNA UHAKIKA KAMA ANA BWANA WAKE AU.LAH......( KUMBUKA HAPO JUU, ULICHOMEKEA )

P[emoji117][emoji117] MTONGOZE KIMASIHARA MASIHARAAA, USIWE SERIOUS SANAAA, NA PIA USITAFUTE KUJUA MAISHA YAKE YA KIMAHUSIANO KAMA ANA BWANA AU LAH....MPAKA PALE ATAKAPOJITEKENYA MWENYEWE.
Asante mkuu
 
Chukua shing elfu 35 kesho vaa shati lenye mfuko ,iweke .Ukimuona mwambie Kuna kamzigo kake aingize mkono pia aangalie kasiishie kwenye mambo mengine.
 
Back
Top Bottom