Mtumie milionNduguu zanguu tusaidianee swagaa apa kidogo. Leo ofisini kuna msichana alikujah, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuonaa palee. kwa ule uzurii nikashindwa ata kusalimiaa sasaa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzajee
Umeanza Kuvuta lini Bangi za Blantyre?Ndugu zangu tusaidiane swaga apa kidogo.
Leo ofisini kuna msichana alikuja, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuona pale. kwa ule uzuri nikashindwa hata kusalimia sasa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzaje.
Sawaa brooHatuogopi kupenda ila tunaogopa kutopendwa..we jilipue tu..akitik poa asipotiki poa..warembo wengi mno.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu tusaidiane swaga apa kidogo.
Leo ofisini kuna msichana alikuja, mimi nilitoka ile narudi ndo nikamuona pale. kwa ule uzuri nikashindwa hata kusalimia sasa baada ya yeye kuondoka ikabidi nikaangalie namba yake kwenye daftari la maudhurio niko nayo apa sjui nianzaje.
Hahahaaa. Ndio.Hahahahahahaha ilaa weweeee