Naanzaje kupata talaka?

Sijui huko aliko kama amepata mwingine ukiacha wale aliokuwa nao,me nimechoshwa na kivuli hiki nataka kuwa huru tena.

Naona nawewe umepata mwingine unataka uolewe nae.ndio anaekufanya udai talaka
 

kwa hiyo issue ni mama mkwe ndiye tatizo kuu na si mumeo? uliwahi kuchukua hatua dhidi ya mama mkwe?....na unaweza kuthibitisha mbele ya watoa talaka kuwa mumeo ameshaoa huko aliko?
 
kwa hiyo issue ni mama mkwe ndiye tatizo kuu na si mumeo? uliwahi kuchukua hatua dhidi ya mama mkwe?....na unaweza kuthibitisha mbele ya watoa talaka kuwa mumeo ameshaoa huko aliko?

Cjawahi kufanya chochote zaidi ya kusikiliza tuu, tatizo kwangu c o mama mkwe instability ya mume ndicho kinachoniudhi..cwezikuthibitisha coz cjui alipo kwa sasa na cjui anaishi na nani.hatuna mawasiliano kabisa mkuu
 
Hata kama ni ndoa ya kanisani, mahakama inaweza kutoa taraka though ni mlolongo mrefu kidogo unaohitaji uvumilivu. Issue yako ulishagaifikisha kwa viongozi wa kanisa? unatakiwa uanzie kanisani, huko watafanya process za kuwasuruhisha, ikishindikana sasa ndo watakupa barua ya kwenda mahakamani, mahakamni nako watawasikiliza mwisho ndio mahakama itaamua kama kuna haja ya kutoa taraka au la!


Ni Ndoa ya kanisani, mahakama haivunji Ndoa ya kanisa mkuu?lengo langu ni official divorce mkuu.
 


Nashukuru mkuu, cjaipeleka ndio naanza kuifanyia kazi ndio maana nikaomba muongozo mkuu.
 
Reactions: ram
kwa kuwa upo peke yako unaongea hapa ndio utaonekana upo sahihi kabisa akija wa upande wa pili akitoa hoja sijui itakuwaje ndio maana wanasema ndoa ni kifungo wewe endelea upate taraka uleee matoto yasiyokuwa na malezi ya baba

Mkuu mbona humuelewi mdau miaka miwili watoto hawapati huduma ya baba na anachotaka ni official separation kwakua mpaka hapo hakuna ndoa.sasa ata asipokuwa na talala kwa sasa unaweza kusema ana mume? Ndoa ta kanisani inavunjika sana .Anza na kanisani katika baraza la usuluhishi then wara wa refer mahakamani.
Maana moja wapo ya sababu ya kuvunja ndoa ni kuterekezwa ambayo tayari ipo.mwenza kuanzisha familia nyingine ambayo tayari ipo.Sasa kama hawana mahusiano ya kimwili tena si ndoa ishavunjika?Tatizo la waafrica ni kupenda kuisha maisha fake.
 
Reactions: ram

Hivi kwanini mnawakandamiza wanawake kwa kivuli cha maandiko ya ndoa hivi mume akisha mfukuza au kutengana na mke miaka 2 kuna ndoa?
Kama mtoa mada angekua bado yuko na mumewe ndani ndo tungeshauri uvumilivu na mambo kama hayo sasa ata agizo la ndoa ataliti.iza vipi na mtu wametengana miaka miwili?
labda kama una mshauri akae tu amrhatamia vyeti maana nini uhakika mume anapata mahitaji ya kimwili kwingine kwahiyo huyu dada yeye alale na vyeti?

Wakat mwingine tujaribu kudiscuss uhalisia kuliko imani maana kwa miaka miwili wameshindwa kusuluhishana wenyewe mpaka hapo majaliwa ndo yata waweka pamoja.

Kwa msingi wa neno hawa washakua wazinzi so hakuna mathayo wala nini?Maana mume anaweza kumkuta na mpenzi/mzinzi mwenzie akajidai kamfumania au akafanya fujo wakati nae ni mzinzi thats why katika hatua hii talaka ni muhimu.
 
Haya ndio uanze sasa, nenda kanisani, kanisani watamtafuta mumeo wawasikilize, baada ya hapo ndio mahakamani. Tunza kila karatasi utakayopewa inayohusiana na hii issue iwe kanisani au wapi, ndio documents zitakazokusaida huko mbele kwa pilato

Nashukuru mkuu, cjaipeleka ndio naanza kuifanyia kazi ndio maana nikaomba muongozo mkuu.
 
Cjawahi kufanya chochote zaidi ya kusikiliza tuu, tatizo kwangu c o mama mkwe instability ya mume ndicho kinachoniudhi..cwezikuthibitisha coz cjui alipo kwa sasa na cjui anaishi na nani.hatuna mawasiliano kabisa mkuu

Naona limbwata ulilotumia limekwisha muda wake jamaa kakutema, sasa huo mzigo wa watoto wawili utamkabidhi nani maisha yenyewe haya, hata kama ndoa ni watoto sio uniletee, jiandae kufunuliwa na wanaume wapya kila mwaka mpaka uzeeni na ukome kutumia limbwata
 
Asante sana nitafanyia kazi ushauri wenu wakuu
 

Hali hiyo cjakuomba unisaidie povu linakumwagika hivyo...non of your business stay out of this.
 
Hali hiyo cjakuomba unisaidie povu linakumwagika hivyo...non of your business stay out of this.

Just be serious, hujaonyesha jamaa alikukosea nini, tangu mganga wenu sheikh yahya afariki mnahaha, mtoto wa watu ulikuwa unamtandika na vibuyu na hirizi sasa kazinduka, jichunguze vizuri,makosa ni yako dada, kuishi na mume ni kudra kwa ajili ya wachache,inawezekana hukupangiwa ndoa ila ulipangiwa kuchepuka
 

I said non of your business, naanzaje kukwambia ilikuwa nn,ili iweje,? Pole kwasababu hicho ndicho unachojua chini ya jua,that's too bad.stay out of this plz
 

What if mumewe kapewa limbwata katika sagula sagula yake na huyu mama ni innocent? Au what if mwanaumr ndo hajapangiwa ndoa na ndo maana ana achan na kila anaye ishi nae.
 

Waafrica hasa Tz twapenda maisha ya show-off na kufuata historia. Ndoa ni maelewano na sio chuma cha pua hakiwezi vunjika
 
I said non of your business, naanzaje kukwambia ilikuwa nn,ili iweje,? Pole kwasababu hicho ndicho unachojua chini ya jua,that's too bad.stay out of this plz

Sasa mbona unakuwa mkali? Wewe ni mkurya au? Now i know kwa nini nneachana, you are so harsh nad you wanted him to be out of (this)everything, your heart, sex, family finance and many more,now he is out, the only thing which remains with you ni kidonda ambacho ni mithili ya kansa,no divorce papers can cure it
 

Watakuja kukupa ushauri, na ukishapewa talaka yako unitafute maana hata mi natarajia kutoa talaka hivi karibuni
 
What if mumewe kapewa limbwata katika sagula sagula yake na huyu mama ni innocent? Au what if mwanaumr ndo hajapangiwa ndoa na ndo maana ana achan na kila anaye ishi nae.

Huyu dada kam~frustate jamaa thats why he dont trust any woman, ina maana amesahau kiapo chake cha ndoa? SHIDA NA RAHA, yeye alifikiri ni shida ya kupata pesa? Hajui kuwa hiyo taasisi inaandamwa na shetani ili aivunje na shetani kafanikiwa kumuingia huyo dada? Tangu afunge ndoa hajakanyaga kanisani unafikiri shetani atamwacha,
 


You are very mistaken, being out is first aid and getting divorce is complete treatment.... May you plz mind your business...? You make me sick for sure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…