asha ngohi
Member
- Apr 11, 2013
- 20
- 5
Maisha bwana.ikumbukwe wsnao umia ni watoto ns c ww au mume.kikubwa vumilia kwanza ila kama kaoa waweza dai talaka lakini kama bado vumilia kwajili ya malezi mema ya wanao.ni huzuni sana cz wanao umia ambao hawastahiki ni watoto tu na c nyie