Naanzaje?

Naanzaje?

Nataka nianze mnunulia bites hapa

hahahahah nimecheka jaman!ni vile unaoanekana jank...uhenga unaraha yake!
we anza kuikandia "selekale" ya ccm atamwagika !ikiwezekana mtukane mkulu kbs
 
hahahahah nimecheka jaman!ni vile unaoanekana jank...uhenga unaraha yake!
we anza kuikandia "selekale" ya ccm atamwagika !ikiwezekana mtukane mkulu kbs
We hunitakii mema asee
 
Nunua Daily news concetrate na story za ngeli hata kama inapiga chenga,

Halafu mtext mwanao akupe mchongo wa kufanya kazi UN mwambie wizara ya Madini wanazingua sana unataka upige chini kazi,

Mwambie umetoka kufanya interview NGO moja kutoka brazil ambayo base yake hapa bongo ipo morogoro then agana nae kata simu

Angalizo usiwe na tecno au huawei.
 
Team fisi hawakosagi Maneno, wewe msalimie, kwenye hilo Gari kama kuna TV jisemeshe dah huyo sister kwenye TV mkali ila yajakuzidi wewe....... Akijibu anzia hapo.

Au jichekeshe useme jf bana kuna vituko, akijibu jf ndo WAP? anzia hapo.
 
Nikusaidie mdogo wangu? Anza na introduction.

Mwambie my name= Cement+Water+ Gravel +Sand.

Thank me later.
😀😀
 
Nunua Daily news concetrate na story za ngeli hata kama inapiga chenga,

Halafu mtext mwanao akupe mchongo wa kufanya kazi UN mwambie wizara ya Madini wanazingua sana unataka upige chini kazi,

Mwambie umetoka kufanya interview NGO moja kutoka brazil ambayo base yake hapa bongo ipo morogoro then agana nae kata simu

Angalizo usiwe na tecno au huawei.
Nina samsung Edge
 
Ana shape hataree....nahc mchina
mwambie dada kwa kweli umebarikiwa kuliko wanawake wote ambao nimepata kuwaona, akikuuliza kwa nini mwambie umejaliwa shape moja hatari sana shemeji anafaidi, afu change topic muulize kama anakuja dar kufany nn, jitambulishe baada ya hapo nadhani mtakuwa mmeshafika ubungo na anaweza kukupatia namba kama umemchangamsha vya kutosha
 
hata kumsabahi ni sehemu ya kuanzia mengine yanatokana na majibu yake, mfano u hali gani? ohhh unaelekea Dar sehemu gani? ndo nyumbani? n.k
 
hahahahah umenikumbusha safari yangu na abood!nimekaa namkaka seat moja!jaman kaka alikua hatulii mara akohoe mara akae vzr, anyanyuuke,akikaa tena annakugusa upaja!yaan alikua vurugu tupu!tunafika maili moja eti akanisalimia dada vip!hhaaaaaaaaa nikamjib poa...aise wanaume mna kazi
Haha ungemuuliza mbona hutulii jombaa
 
Back
Top Bottom