Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Njoo PM tuwekeane Dau Yanga hawezi kupindua matokeo Algeria.Ndugu ukitaka Na Kupa ata namba yangu tutafutana Na Kupa Laki Moja ushike mikononi mwako yanga akitolewa Na waarabu pesa Izo sitokudai yanga akiwatoa waarabu unanirudishia pesa zangu
Kuwatoa? Umevurugwa wewe, habari za kutoana zilishakwishaNahapa mbele ya Mungu hakika ivi yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao
Najua wengi mtanicheka Na kunikejeli lakini najua nikisemacho
ProfessionEl?Huwezi kumfunga Muarabu tena Algiers . Ni
Impossible possible . Nadra. Tena Fainali
Kumbuka hawa wapo 8 kwenye ligi yao . Nyie ndio mmeogoza . Hapa pia ni tofauti ya Ubora wa Ligi.
Muulize Assec , Assec ni bora zaidi ya Yanga .
Hawa hata mpira wao ukitizama , ni professionnel .kule mtakula chuma sio chini ya 2
Kichwa cha mwendawazimu fainali? Wewe utakuwa chizi siyo bure.Kichwa cha mwendawazimi
Endelea kuhapa tu 🤣🤣Nahapa mbele ya Mungu hakika ivi yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao
Najua wengi mtanicheka Na kunikejeli lakini najua nikisemacho
Mkuu, jitahidi kuficha upumbavu wako, acha ushabiki wa kipuuzi, muheshimu mama yako.Hakika ya Mungu Tena Na rudia hakika ya Mungu Mama yangu ageuke kuwa mke Wangu yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao Na ukitaka tunaweza hata kubet
.Hakika ya Mungu Tena Na rudia hakika ya Mungu Mama yangu ageuke kuwa mke Wangu yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao Na ukitaka tunaweza hata kubet
Uko Kama mimi Imani yangu Hawa tunawafunga kwao majirani zetu mwakarobo hawataamini kitakachotokea Imani yangu ni kubwa mfano hakunaNahapa mbele ya Mungu hakika ivi yanga anaenda kuwatoa Hawa waarabu nyumbani kwao
Najua wengi mtanicheka Na kunikejeli lakini najua nikisemacho
Dah mi hapa naugulia maumivuHahahhahaha hata hyo yenyewe ni maini 😆
Pole mkuu..kulia kupokezana mkibeba ubingwa mtatuzodoa na nyieDah mi hapa naugulia maumivu
Nakazia Aache Haraka Sana, Mambo Ya Hovyo Kumtaja Allah, Jah, MunguAcha kutaja jina la Mungu bure...
Yaani acha tu, mama watoto nae mshenz kweli, kisa ye Simba narudi nyumbani nakuta wote wametundika jezi za simbaPole mkuu..kulia kupokezana mkibeba ubingwa mtatuzodoa na nyie