Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Kwa sababu ya kukosa mkopo tu??Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Kila mtu na sababu yakeKwa sababu ya kukosa mkopo tu??
Hii ni ithibati kuwa uzalendo wa kweli ni kwa tumbo la muhusika pekee, mengine mbwembwe.Kwa sababu ya kukosa mkopo tu??
Hongera mkuu yaani hapo unaachana na shetani aseeKama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Japo umechekewa lakini HongeraKama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Angepata mkopo hata utekaji asingeuona wal mauwajiKwa sababu ya kukosa mkopo tu??
Ahsante wanaocheka wapuuziJapo umechekewa lakini Hongera
Sababu ni nyingi ongezeeni na nyinyiHii ni ithibati kuwa uzalendo wa kweli ni kwa tumbo la muhusika pekee, mengine mbwembwe.
Angepata boom, muda huu angekuwa anashusha insha za kumsifu mama kwa kuupiga mwingi.
Kwa hiyo ukipata mkopo unarudi?Kila mtu na sababu yake
Nawaza kujiunga Chadema au CAFMbona umechelewa sana kufanya maamzi.
Sirudi Tanzania bila vyama kupisha a serikalini hakutokua na maendeleoKwa hiyo ukipata mkopo unarudi?
Aisee kuna na hii ya %10 ya halmashauri ni mbwembwe tuKama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Kunywa maji utulie kwanza usifanye maamuzi ya hasira.Nawaza kujiunga Chadema au CAF
Leo ndio nimejua kwanini watu wanaipinga CCM ya SamiaAisee kuna na hii ya %10 ya halmashauri ni mbwembwe tu
Kuna siku wananchi wakiamua CCM ndio itakua mwisho wakeKunywa maji utulie kwanza usifanye maamuzi ya hasira.
Ww hunipendi lakini wazazi wako na ndugu zako wanakipenda sana chukua hatua waelimishe ndugu,jirani na marafiki kuhusu CCMKama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.