Naapa kuachana na CCM

Kwahiyo unasubiri Chama Cha upinzani
 
We in service Una mshahara alafu unalilia mkopo?
Duh! Kwa hakika kama nchi tumefika pabaya mno.
 
Kuachanaje nayo, mkuu?

Unaambiwa Sisiemi haiboi wala haipo; haitetereki wala haikwepeki - usipoinywa basi utaioga. Sisiemu ni ileile. Tumeipenda wenyewe! Ndivyo wasemavyo wao.

Sasa chama mbadala ni kipi, ili tujiunge nacho, mkuu - maana ile M4C (Magufuli4Change?!) sijui CDM waliitokomezea wapi?
 

Attachments

  • image_2024-12-07_114943633.png
    138.3 KB · Views: 3
Imani potofu za kishirikina zitawasababishia mawenge watu wengi mno wenye fikra na mawazo mgando kama huyu kijana,

hata hivyo,
ni Lazima kujitolea kumsaidia kijana huyu ambae ni nguvu kazi ya taifa, ili kuondokana na dhana zinazosababisha mtu kufanya uamuzi au kuchukua hatua ambazo zitamuathiri na kumdhuru yaye mwenyewe.

Ndugu zangu wanafunzi, someni kwa bidii, na wale wa mitaani tafadhali usichagua kazi, uliyonayo ifanye kwa moyo na bidii sana bila kukata tamaa.

Jambo la maana zaid, kua mstahimilivu na uwe na subra 🐒
 
Mtu mwenyewe hata mia ya kulipa ada huna unataka kuitisha CCM? Ukoo mzima mmeshindwa kuchanga kukusomesha wewe mtu mmoja halafu ualeta mikwara hapa?
 
Mtu mwenyewe hata mia ya kulipa ada huna unataka kuitisha CCM? Ukoo mzima mmeshindwa kuchanga kukusomesha wewe mtu mmoja halafu ualeta mikwara hapa?
Kwakua hunijui na sikujui TULIZA MSHONO
 
TULIZA MSHONO SISTA
 
Kila furusa zilizoko na zinazotolewa na ccm, tumia tu, ila hakikisha huwi ccm kimwili na kiroho pia, maana hiko chama kinasapoti kazi zoote za Ibilisi

Huyu ccm 100% ni baba wa uwongo na hana huruma na mtu yeyote yule linapokuja suala la yeye kutaka madaraka
 
[QUOTE="Captain Fire, post: 52177340, member: 721709"
...... wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, ....,.
[/QUOTE]
 
Dogo mimi chuo nimemaliza 2020 huko, au kama vipi endelea kuamini uonavyo
Ulimaliza chuo cha ualimu 2020, sasa hivi uko diploma unajiendeleza na hujapata mkopo.

Kijana postpone tu maana hiyo ndiyo njia pekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…