Kwahiyo unasubiri Chama Cha upinzaniKama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
We in service Una mshahara alafu unalilia mkopo?Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Postpone chuo then mama akitoka uendelee na chuo.Ahsante wanaocheka wapuuzi
Imani potofu za kishirikina zitawasababishia mawenge watu wengi mno wenye fikra na mawazo mgando kama huyu kijana,Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Mtu mwenyewe hata mia ya kulipa ada huna unataka kuitisha CCM? Ukoo mzima mmeshindwa kuchanga kukusomesha wewe mtu mmoja halafu ualeta mikwara hapa?Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Kwakua hunijui na sikujui TULIZA MSHONOMtu mwenyewe hata mia ya kulipa ada huna unataka kuitisha CCM? Ukoo mzima mmeshindwa kuchanga kukusomesha wewe mtu mmoja halafu ualeta mikwara hapa?
TULIZA MSHONO SISTAImani potofu za kishirikina zitawasababishia mawenge watu wengi mno wenye fikra na mawazo mgando kama huyu kijana,
hata hivyo,
ni Lazima kujitolea kumsaidia kijana huyu ambae ni nguvu kazi ya taifa, ili kuondokana na dhana zinazosababisha mtu kufanya uamuzi au kuchukua hatua ambazo zitamuathiri na kumdhuru yaye mwenyewe.
Ndugu zangu wanafunzi, someni kwa bidii, na wale wa mitaani tafadhali usichagua kazi, uliyonayo ifanye kwa moyo na bidii sana bila kukata tamaa.
Jambo la maana zaid, kua mstahimilivu na uwe na subra 🐒
Sio kila ninalosema basi ni mimi mimi ndie mhusika, AHMKAPostpone chuo then mama akitoka uendelee na chuo.
Wewe ni mhuhusika kwa sababu umetumia nafsi yako.Sio kila ninalosema basi ni mimi mimi ndie mhusika, AHMKA
nimekusoma unt aisha 🐒TULIZA MSHONO SISTA
Sawa mwajuma cheupe dawanimekusoma unt aisha 🐒
Au sioWewe ni mhuhusika kwa sababu umetumia nafsi yako.
Yeah!Au sio
Dogo mimi chuo nimemaliza 2020 huko, au kama vipi endelea kuamini uonavyoYeah!
Usipende kujikana.
Sina haja ya kukujua mtu mwenyewe unalialia na mkopo wa masomo. Umeshindwa kutuliza mshono unautembeza jf. Wanakuja kukulipia wakupasue mshono.Kwakua hunijui na sikujui TULIZA MSHONO
Kausha sina mda wa kubishana na MPUUZI kama weweSina haja ya kukujua mtu mwenyewe unalialia na mkopo wa masomo. Umeshindwa kutuliza mshono unautembeza jf. Wanakuja kukulipia wakupasue mshono.
Ulimaliza chuo cha ualimu 2020, sasa hivi uko diploma unajiendeleza na hujapata mkopo.Dogo mimi chuo nimemaliza 2020 huko, au kama vipi endelea kuamini uonavyo