Naapa kuwa sirudii tena kumsaidia Mtanzania -- never!

Tatizo la wa bongo wengi wanaokkmbilia kwa kabulu ni kuwa na elimu ndogo sana, nafikiri wengi wao hata shule ya msing hawakumaliza. Yahaani hata ktk vidili vyao utakuta wanachomeanachomeana. Yahaani wametawaliwa na ujingaujinga
 
Pole sana, mungu atakuongezea ulipo pungukiwa. Saidia lakini uwe unawaacha wapatane wenyewe, na lazima useme wazi , humjui.
 
Kulikuwa na haja gani ya kuja kunianika humu? Si ungepotezea tu. Kwani wewe hauibi? Kila mtanzania ni mwizi katika nafasi yake iwe ndani au nje ya nchi. Hujafanya fresh kabisa kunichafulia jina.
Hahahaha..mkuu leta vifaa vya watu maana jamaa ana mpango wa kumgeuza mwizi wake mende wa chooni. Hapa ndo namsihi asifikie huko.
 
South Africa ya siku hizi ina watu wema hivyo? Yani umkute mtu analia uende kumuuliza analia nini unamsemesha kizulu then unagunduwa ni Mtanzania unampeleka kwako.

Konda tafadhali nishushe hapahapa nimefika, mwendo wa dereva ni hatarishi.
Kwanini unahisi jambo hilo haliwezekani kiongozi..... mbona ni jambo la kawaida kwa wanadamu
 
Pole sana, Vijana wa kibongo wanapenda sana kitonga, Nilikuwa na tabia ya kuwatafutia kazi vijana kwa jamaa na marafiki kwa jinsi walivyoniangusha wala sihitaji awe ndugu jirani au rafiki BIG NO.

Wengine wanahazima vifaa vya kazi halafu hawarudishi, ukiwafuatilia wanadai wameibiwa.
 
Mr Dudumizi huyo mshikaji uliyemsaidia kupata kazi kauawa kwa kutolewa kafala/biashara ya viungo, na mkenya kasingizia kamuibia. Huyo mkenya hiyo itakuwa ni side business kwa ajili ya viungo etc. Muepuke huyo Mkenya hata wewe atakuja akuue auze viungo.
 
Huu ni wizi wa kishamba sana inabidi uchomwe moto au unyongwe ili iwe fundisho kwa wengine.
Mwizi ni wa kuawawa tu kwasababu wanarudisha maendeleo nyuma. Nikimkuta mwizi anapigwa, naungana nao kumpiga.
Kulikuwa na haja gani ya kuja kunianika humu? Si ungepotezea tu. Kwani wewe hauibi? Kila mtanzania ni mwizi katika nafasi yake iwe ndani au nje ya nchi. Hujafanya fresh kabisa kunichafua humu.
 
Mkuu hivi Mbowe, Chadema na wachaga waliwakosea nini? Umetoka kula ban kwa huu huu upuuz wako. Tena unarudia. Hizi viporo vya kande iliyochacha unavyofakamia na kuparamia utaacha lini?
Kachambe vibabu vya kizungu kwanza. Wazungu hawapendi umbeya, sasa kila wakati ninyinwabongo wapenda udaku mnash8nda kwenye mitandao kufuatilia kina Juma Lokole

Halafu humu unaona kama kupigwa BAN ni kunyimwa Oxygen au kufukizwa au ?

Uko monetised humu hakuna cha maana unachopata zaidi ya LIKES na COMMENTS ambazo huwezi kutoanurithi kwa wano. Shituka.

Katembee hata Nairaland, Qoura au Reddit unaweza kujifunza chochote, siyo kuendelea humu kiwa msukule wa mbowe wakati wazazi wako wapo.
 
Mtu haanzi wizi mkubwa hivyo mara moja tena nchi ya ugeni huwa wanaogopa. Jina lake ni nani? Weka na picha yake hapa. Na police taarifa mmetoa wakasemaje? Kama kweli imetokea huyo ni jambazi mkubwa sana na mwisho wake ni kifo tu. Hata hio story utakuta alitunga. Alikuwa south africa muda mrefu akakulia njari akijua ww ni mtz nk. Dunia ina mambo ya ajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…