Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkaldayo inakuwaje 😆Stephano unazingua
😆😆😆😆Kachambe vibabu vya kizungu kwanza. Wazungu hawapendi umbeya, sasa kila wakati ninyinwabongo wapenda udaku mnash8nda kwenye mitandao kufuatilia kina Juma Lokole
Halafu humu unaona kama kupigwa BAN ni kunyimwa oxygen au kufukizwa au ?
Uko monetised humu hakuna cha maana unachopata zaidi ya LIKES na COMMENTS ambazo huwezi kutoanurithi kwa wano. Shituka.
Katembee hata Nairaland, Qoura au Reddit unaweza kujifunza chochote, siyo kuendelea humu kiwa msukule wa mbowe wakati wazazi wako wapo.
Anayepajuwa Park station itakuwa ngumu sana kuamini hii tamthilia.Kwanini unahisi jambo hilo haliwezekani kiongozi.....mbona ni jambo la kawaida kwa wanadamu....
Ukweli wake ni upi?Nilipoandika mambo haya niliyapima maneno yangu nikayathibitisha kuwa ni kweli.
Soma hapo👇👇👇
Usisaidie masikini, acha wafe
USISAIDIE MASIKINI; ACHA WAFE Na, Robert Heriel Umasikini ni laana. Huwezi kuwa masikini kama hujalaaniwa. Ukiona wewe ni masikini jua tayari unalaana, ukiona ukoo wenu ni masikini jua koo yenu mnalaana. Ukiona kabila, taifa au bara lenu ni masikini basi fahamu kuwa hiyo ni laana. Huu ni...www.jamiiforums.com
Pole sana, Vijana wa kibongo wanapenda sana kitonga, Nilikuwa na tabia ya kuwatafutia kazi vijana kwa jamaa na marafiki kwa jinsi walivyoniangusha wala sihitaji awe ndugu jirani au rafiki BIG NO.
Wengine wanahazima vifaa vya kazi halafu hawarudishi, ukiwafuatilia wanadai wameibiwa.
Asante kwa kutujuza kiongozi......Mungu atamlipa mleta mada kwa kadri ya dhamira ya moyo wake.....Anayepajuwa Park station itakuwa ngumu sana kuamini hii tamthilia.
Hizo ni sehemu tunaoijuwa vizuri Johannesburg tulikuwa tukipita huku tunakimbia kwa kujifanya kama tunapunguza winter mwilini kumbe unajilinda na majita.
Kama kuna sehemu ya mind ur business basi ni Joburg, ndio maana hii hadithi imenishangaza sana.
Mswahili hata ukifanya naye biashara akishika pesa mkononi anaona ni za kwake, Binafsi nina tabia ya kununua matunda kila siku, ninapomwambia muuzaji anichagulie, hunichagulia matunda mabovu, nikimuuliza kwanini unafanya hivi anasema "mbona haya mazima kabisa" Hili jambo hunishangaza sana! Yaani hawezi kutofautisha mazima na mabovu?Sijui tunakwama wapi sifa zetu ni mbaya sana
Sasa wewe tukuweke kundi la wazungu?Mswahili hata ukifanya naye biashara akishika pesa mkononi anaona ni za kwake, Binafsi nina tabia ya kununua matunda kila siku, ninapomwambia muuzaji anichagulie, hunichagulia matunda mabozi, nikimuuliza kwanini unafanya hivi anasema "mbona haya mazima kabisa" Hili jambo hunishangaza sana! Yaani hawezi kutofautisha mazima na mabovu? Kumbe akili ya ushwahili akuuzie yaliyochoka ili abaki na mazima ayauze kesho!!! Mtu anakuja kukukopa na ahadi ya kwamba mzigo ukitoka atalipa, weee mzigo unatoka anaanza kukuzungusha huku anajua kuwa na wewe unazungusha kama yeye.
WASHWAHILI HAWAFAI KABISA.
Mtaumiza akili na vichwa vyenu bure, South Africa ndio chimbo pekee ambalo ni rahisi kwa hawa Notorious wetu wa Bongo kukimbia Bongo na kuingia huko kwa njia za panya na wengine hufia njiani kwa kuuliwa na viboko wakati wa kuvuka mito hatari.Sijui tunakwama wapi sifa zetu ni mbaya sana
Mswahili ni nani?Sasa wewe tukuweke kundi la wazungu?
Hakika mkuu, kila tunapojaribu kuwabeba ndugu zetu hawabebeki.Honestly speaking waTanzania wengi wanapenda shortcut
Siyo kwenye kazi
Kwenye biashara
Mpaka kwenye mambo ya kijamii
Kuna mmoja nilimpeleka godown fulani akapiga mzigo imekuja julikana too late na deni nikalibeba
Mimi nikisikia opportunity nakausha tu kuepuka lawama. Kisha utasikia waTanzania hatupendani.
Wabongo kwa sasa hatuaminiki popote sababu ya wajinga fulan.Kuna thread pia humu ya biashara Commoro naskia wakijua wewe ni mtanzania wanakuogopa maana wanajua ni tapeli tu.
Nahisi atakuwa ameshikwa masikio na yule mwenyeji wake baada ya kugundua kuwa kijana anaweza kuwa mtaji kupitia vile vifaa vya saloni. Asichofahamu kijana ni kwamba anaweza kufika kule wakauza vifaa alivyoenda navyo, afu baadae mwenyeji akambadilikia na kumtelekeza barabarani.Pole sana Dudumizi. Ila huyo kijana ni umbwa kabisa. Hana maana. Ataishia kutangatanga tu. Na asipokuwa makini atauawa. Umbwa kabisa yeye.
Sister.. ma gape kama haya tuna watu wana uhitaji nayo sana sana, nikuombe usikate tamaa kwa ajili ya watu wachache unaweza ukawa msaada kwa watu wengi sanaHonestly speaking waTanzania wengi wanapenda shortcut
Siyo kwenye kazi
Kwenye biashara
Mpaka kwenye mambo ya kijamii
Kuna mmoja nilimpeleka godown fulani akapiga mzigo imekuja julikana too late na deni nikalibeba
Mimi nikisikia opportunity nakausha tu kuepuka lawama. Kisha utasikia waTanzania hatupendani.