Naapa mbele ya Mungu, Yanga ikiifunga TP Mazembe Leo najiondoa rasmi JamiiForums

Naapa mbele ya Mungu, Yanga ikiifunga TP Mazembe Leo najiondoa rasmi JamiiForums

Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.

Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.

Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.

Tusidanganyane hapa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Rasmi kuanzia sasa usionekane JF
 
Excuse!
JamiiForums-688047144.jpg
 
Ni upumbavu kujiaminisha kipumbavu, kitu kinachoitwa mpira chochote kinaweza kutokea Leicester City alichukua ubingwa wa EPL, Simba aliwahi kutolewa FA na mashujaa, Saudi kamfunga Argentina n.k.
Kuna wakt unakuwa na akili ila Kuna wkt unakuwa andazi vilevile

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kati ya Makolo wote Mo Dewji tu ndiye afadhali na Tweet yake "JANA TUMEFUNGWA MAGOLI LEO TUMEFUNGWA MIDOMO" hongera zake kwa kuukubali mziki wa Wananchi.
 
Aliyeapa atajitoa JF kama Yanga ikifunga bado yupo? Nilisema mpira ni utabiri wa hali ya hewa, angalia mvua ya mawe ilivyoanguka.
 
Usiwe unaapa kwa mambo ya utabiri, itakula kwako. Angalia sasa imekula kwako, jiondoe haraka JF.
 
Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.

Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.

Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.

Tusidanganyane hapa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ni matumaini yangu kuwa haupo tena JF!...wasalimie uendako!!
 
Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.

Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.

Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.

Tusidanganyane hapa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
We Kolo mbona bado hujajiondoa?
 
Konda msafi vp lile dili lako kule mtwara ulifanikisha la kununua Gari?
Samahani mkuu Kwa kuchukua muda mrefu bila kujibu hapa, kwanza katika kuishi kwangu Tanzania sijawahi kufika mtwara na sijawahi kuwa na deal ya gari huko.Ahsante
 
Sio kweli mzee
Wewe unanijua zaidi ya ninavyojijua? Pili hapa jamii forum sifahamiani na mtu yeyote yule zaidi ya humu sababu Kwa hii user name ninayotumia 3 sijawahi kufika mtwara na Tanzania mara ya mwisho kuishi ni 2008 huwa nakuja salimia family na kurudi huku nilipo, mwaka 2020 pia nilikaa huko dodoma Kwa miezi kama 6 hivi Kwa kazi maalum. Ahsante
 
Back
Top Bottom