Muccigang
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 1,313
- 1,918
Mwishokambi siku nyingine usiape kwa jina hilo. Lina nguvu sana.
Ni afadhali hata ungeapa kwa jina la JMT, japo kuapa sii vizuri kama huna uhakika![emoji3][emoji119]
Daah your so kind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwishokambi siku nyingine usiape kwa jina hilo. Lina nguvu sana.
Ni afadhali hata ungeapa kwa jina la JMT, japo kuapa sii vizuri kama huna uhakika![emoji3][emoji119]
Rasmi kuanzia sasa usionekane JFMpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.
Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.
Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.
Tusidanganyane hapa.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Kuna wakt unakuwa na akili ila Kuna wkt unakuwa andazi vilevileNi upumbavu kujiaminisha kipumbavu, kitu kinachoitwa mpira chochote kinaweza kutokea Leicester City alichukua ubingwa wa EPL, Simba aliwahi kutolewa FA na mashujaa, Saudi kamfunga Argentina n.k.
Ila Yanga mashabiki wake wana mdomo sana, nawaombea njaa
Hana ubavu wa kukimbia JF kazi kujiapiza makitu ya hovyo hovyo mara sjui naapa mbele za Mungu shwain dunduka la haja lile angalia hii
Ni matumaini yangu kuwa haupo tena JF!...wasalimie uendako!!Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.
Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.
Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.
Tusidanganyane hapa.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
We Kolo mbona bado hujajiondoa?Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.
Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.
Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.
Tusidanganyane hapa.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Samahani mkuu Kwa kuchukua muda mrefu bila kujibu hapa, kwanza katika kuishi kwangu Tanzania sijawahi kufika mtwara na sijawahi kuwa na deal ya gari huko.AhsanteKonda msafi vp lile dili lako kule mtwara ulifanikisha la kununua Gari?
Samahani mkuu Kwa kuchukua muda mrefu bila kujibu hapa, kwanza katika kuishi kwangu Tanzania sijawahi kufika mtwara na sijawahi kuwa na deal ya gari huko.Ahsante
Wewe unanijua zaidi ya ninavyojijua? Pili hapa jamii forum sifahamiani na mtu yeyote yule zaidi ya humu sababu Kwa hii user name ninayotumia 3 sijawahi kufika mtwara na Tanzania mara ya mwisho kuishi ni 2008 huwa nakuja salimia family na kurudi huku nilipo, mwaka 2020 pia nilikaa huko dodoma Kwa miezi kama 6 hivi Kwa kazi maalum. AhsanteSio kweli mzee