Uchaguzi 2020 Naapa sintapigia kura CHADEMA mgombea akiwa Membe

Uchaguzi 2020 Naapa sintapigia kura CHADEMA mgombea akiwa Membe

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Ni aibu kubwa kama chadema ikamsimamisha Membe agombee kutokana na matukio ya kina Lowasa na Sumaye waliyofanya.


Nitakuwa mjinga wa ajabu napanga foleni kupigia kura chadema na mgombea ni Membe,haiwezekani chama hiki watu wameiamini na mbali kuwa kongwe haina mtu asili aliyelelewa chadema na kukulia chadema ndani ya zaidi ya miaka 20 ya chama kwenye siasa.

Zamu hii mkileta mgombea wa CCM mtampigia kura nye wenyewe ,na itajulikana wale wabunge waliotoka chadema na madiwani kuunga juhudi walikuwa sahihi chadema haifai.

Itakuwa akili za uwendawazimu unapinga watu kuunga juhudi za Magufuli na kufukuzwa kwenye chama wakati nye wenyewe hamna mgombea mnawategemea waliofukuzwa CCM.

Kama mnamkosoa magufuli na ccm yake na kuwafukuza watu wanaomsifu kwanini nye mnavizia masalia ya ccm yatuongozee kama nye siyo wapiga dili na kwa maslahi ya wananchi.

Mtawaambia nini wananchi mkimleta Membe.
Mimi chadema siwezi kumpigia Membe kura kisa kaja chadema.
 
Sasa kura yako sisi inatuhusu nini?

Kura yako ni siri yako, umpigie ,usimpigie sisi haituhusu
 
Hizo ni njama za kuiua chadema na watu kutumia jina la chama kwa maslahi yao binafsi
So itapunguza nini, itahesabiwa kuharibika!

BTW mbona mnamhanya sana huyu Kachelo Mbobezi.?
 
Mkuu usibabaishwe na hizi propaganda zinazoletwa na makada wa kijani humu.

Hakuna kikao chochote cha Mbowe na Membe. Hizo ni mbinu za kijani kuwatoa kwenye reli Chadema.

Mwaka huu CCM wanalo Lissu hajui kusema nimekubali kushindwa, anajua kuhamasisha nguvu ya umma kulinda kura na kudai ushindi wa haki.

Hakuna rangi CCM wataacha ona mwaka huu. Nguvu ya umma ndo silaha ya Lissu
 
Kwani lowasa ulishauriwa c ulizungushiwa mikono na ukenda huku watu washaweka kitita kibindoni. Kimsingi bei ikiwa muafaka inabidi uzungushe mikono tu
 
Hatuna shida na kura yako, tuna shida na mapesa ya membe [emoji1787]
Afadhali hizo pesa angekaa nazo akala na wajuu zake kuliko kuzitumia kwenye kugombea urais, Chadema wakiona una pesa watakusafisha hata kama wewe ni jambazi. Chezea Chadema wewe! Lowasa hana hamu nao mzee wa watu.
 
Back
Top Bottom