Nabi afukuzwe haraka Sana

Nabi afukuzwe haraka Sana

Mimi Kama mwanachama na shabiki wa miaka mingi wa Yanga naomba nabi afukuzwe haraka Sana yanga.

Yanga totally ni mbovu Sana mechi yao ya mwisho waliyocheza mpira ni game ya Mtibwa mwezi 8 toka hapo yanga hakuna timu.

Tuna kundi la wachezaji tu

Nabi inaonekana ameshindwa ku control dressing room hana ushawishi wowote..

Unashindwa kumuanzisha Moloko unaanza na Kisinda?

Morrison iyo mechi alikuwa anafanya nn jaman?

Wachezajiafaza watupu wanalelewa tu pale yanga? Aucho anamuwekaje nje Sure boy?

Baka sioni beki wa kumuweka nje pale yanga!!!

Mpeni hata Mkwasa hii timu muone moto wake!!

Nabi asipofukuzwa kesho narudisha kadi ya uwanachama Bora nibaki kwenye soka la ulaya tu

Siwezi kuendelea kushabikia takataka hizi!!
Ngoja akusikie Tate Mkuu akushukie kama mwewe
 
Mimi Kama mwanachama na shabiki wa miaka mingi wa Yanga naomba nabi afukuzwe haraka Sana yanga.

Yanga totally ni mbovu Sana mechi yao ya mwisho waliyocheza mpira ni game ya Mtibwa mwezi 8 toka hapo yanga hakuna timu.

Tuna kundi la wachezaji tu

Nabi inaonekana ameshindwa ku control dressing room hana ushawishi wowote..

Unashindwa kumuanzisha Moloko unaanza na Kisinda?

Morrison iyo mechi alikuwa anafanya nn jaman?

Wachezajiafaza watupu wanalelewa tu pale yanga? Aucho anamuwekaje nje Sure boy?

Baka sioni beki wa kumuweka nje pale yanga!!!

Mpeni hata Mkwasa hii timu muone moto wake!!

Nabi asipofukuzwa kesho narudisha kadi ya uwanachama Bora nibaki kwenye soka la ulaya tu

Siwezi kuendelea kushabikia takataka hizi!!
mpumbavu wewe usiyekuwa na shukrani
 
Nabi abaki aje asimulie kama yule kocha wa KIPANGA FC na katibu wa KIPANGA FC alisema ''nimedhalilika sana, hata watoto wangu wananicheka na kunidharau natamani hata nipotee kwa muda''
 
Haezekani kaabisa. Chana chana hiyo mikataba yake.
images - 2022-11-02T190919.502.jpeg
 
Seriously Yanga MMEHARIBU

Th funny thing is that, we will see people who will come up and defend this barbaric & nonsensical act instead of condemning it.

This is why some parts of Africa will continue to be like this.

A bad behavior is a bad one. Simple.

#CAFCCwithMicky #TotalEnergiesCAFCC
20221102_191242.jpg
 
Jamani tatizo ni kwamba watu wengi humu ni vijana wadogo na ujio wa hii mitandao ndio imewafanya wafahamu kwamba kuna klabu inaitwa 'Club Africaine' kutoka Tunisia.

Hii ni klabu kubwa ktk bara hili na imewahi kutwaa taji la klabu bingwa Afrika mwaka 1991 hivyo huwezi ukailinganisha na timu yoyote ya Tanzania na hata ikiitoa Yanga wala haitakuwa ajabu ila Yanga ikiitoa ndio itakuwa ni ajabu kubwa sana.

Hii timu ina rekodi Afrika ambayo hakuna timu yoyote ya Tanzania inaweza kufikia, mjaribu kuifuatilia muone badala ya kupiga tu kelele humu.
 
Mimi naona si sawa kumtupia lawama zote Nabi, katufikisha pazuri sana. Aachwe mpaka ligi kuu ya NBC iishe... shida naiona iko kwa wachezaji, huenda kuna kamgomo humo, ama wanakuwa na presha na mechi za kimataifa.
Kati ya makocha wa Yanga waliopita, Nabi nimemuelewa, kupoteza mchezo ama kutoka draw si sababu ya kumtimua kocha, tutabadilisha kila uchwao...
Nasimama na Nabi...
 
Mimi Kama mwanachama na shabiki wa miaka mingi wa Yanga naomba nabi afukuzwe haraka Sana yanga.

Yanga totally ni mbovu Sana mechi yao ya mwisho waliyocheza mpira ni game ya Mtibwa mwezi 8 toka hapo yanga hakuna timu.

Tuna kundi la wachezaji tu

Nabi inaonekana ameshindwa ku control dressing room hana ushawishi wowote..

Unashindwa kumuanzisha Moloko unaanza na Kisinda?

Morrison iyo mechi alikuwa anafanya nn jaman?

Wachezajiafaza watupu wanalelewa tu pale yanga? Aucho anamuwekaje nje Sure boy?

Baka sioni beki wa kumuweka nje pale yanga!!!

Mpeni hata Mkwasa hii timu muone moto wake!!

Nabi asipofukuzwa kesho narudisha kadi ya uwanachama Bora nibaki kwenye soka la ulaya tu

Siwezi kuendelea kushabikia takataka hizi!!
Unbeaten ya 46 leo kocha mwenye records kama hyo mnataka mumfukuze subirini kwanza amalize mechi ya tunisia
 
Wew ni Simba na unapenda kuona Nabi anaondoka maana tangu Nabi awepo Yanga imeimarika sana mpk sasa ni unbeaten 45 Nbc premier League, Kimataifa Yanga hatua hii imekutana na team zenye uzoefu na uwezo hata kifedha za uarabun, kama Yanga nayo ingekutana na team za kusin wamakonde kama wale wa Angola angeshinda tu
Kweli kabisa simba angekutana na zalan angekufa nyingi
 
Wew ni Simba na unapenda kuona Nabi anaondoka maana tangu Nabi awepo Yanga imeimarika sana mpk sasa ni unbeaten 45 Nbc premier League, Kimataifa Yanga hatua hii imekutana na team zenye uzoefu na uwezo hata kifedha za uarabun, kama Yanga nayo ingekutana na team za kusin wamakonde kama wale wa Angola angeshinda tu
Mechi za kunujua marefa na mabeki
 
Mimi Kama mwanachama na shabiki wa miaka mingi wa Yanga naomba nabi afukuzwe haraka Sana yanga.

Yanga totally ni mbovu Sana mechi yao ya mwisho waliyocheza mpira ni game ya Mtibwa mwezi 8 toka hapo yanga hakuna timu.

Tuna kundi la wachezaji tu

Nabi inaonekana ameshindwa ku control dressing room hana ushawishi wowote..

Unashindwa kumuanzisha Moloko unaanza na Kisinda?

Morrison iyo mechi alikuwa anafanya nn jaman?

Wachezajiafaza watupu wanalelewa tu pale yanga? Aucho anamuwekaje nje Sure boy?

Baka sioni beki wa kumuweka nje pale yanga!!!

Mpeni hata Mkwasa hii timu muone moto wake!!

Nabi asipofukuzwa kesho narudisha kadi ya uwanachama Bora nibaki kwenye soka la ulaya tu

Siwezi kuendelea kushabikia takataka hizi!!
Acheni mihemko..
 
Back
Top Bottom