Nabi afukuzwe haraka Sana

Nabi afukuzwe haraka Sana

[emoji16]
IMG_20221102_195316.jpg
 
Jamani tatizo ni kwamba watu wengi humu ni vijana wadogo na ujio wa hii mitandao ndio imewafanya wafahamu kwamba kuna klabu inaitwa 'Club Africaine' kutoka Tunisia.

Hii ni klabu kubwa ktk bara hili na imewahi kutwaa taji la klabu bingwa Afrika mwaka 1991 hivyo huwezi ukailinganisha na timu yoyote ya Tanzania na hata ikiitoa Yanga wala haitakuwa ajabu ila Yanga ikiitoa ndio itakuwa ni ajabu kubwa sana.

Hii timu ina rekodi Afrika ambayo hakuna timu yoyote ya Tanzania inaweza kufikia, mjaribu kuifutilia muone badala ya kupiga tu kelele humu.
Mkuu hatuzungumzii historia wala ukubwa wa team. Tunazungumzia mechi ya leo. Uwezekano wa kushinda ulikuwa mkubwa tu. Kocha na Team kwa ujumla wametuangusha.
 
Kudadadadadadadeq !!!!?
 
Duh wenye akili timamu wanajua kuwa hii unbeaten ni kwa hisani ya miamala ya Tigopesa !!!!!!View attachment 2405284
Kusema kwamba rekodi ya Yanga ya kutokufungwa hadi leo ni kutokana na kuhonga waamuzi nafikiri sio kweli.

Nasema hivyo kwa sababu mechi zote zinaonyeshwa na waga tunaziona live, sawa inawezekana kuna magoli yanayotia tashwishi lkn hiyo ni kwa hata timu ya Simba vilevile.

Lakini hizo timu pinzani kwa kweli hawajafunga goli lolote halali eti likakataliwa, sikumbuki kuona hilo likitokea.
 
Mkuu hatuzungumzii historia wala ukubwa wa team. Tunazungumzia mechi ya leo. Uwezekano wa kushinda ulikuwa mkubwa tu. Kocha na Team kwa ujumla wametuangusha.
Nabi uwezo wake ndio umefikia hapo, hakuna miujiza mingine anayoweza kufanya.

Huwezi ukategemea kucheza formation ya 4 2 3 1 kila siku ukategemea kushinda. Mayele akipata mabeki wazuri peke yake hawezi kufurukuta mbele ni lazima awe na mshambuliaji mwingine bora kumzidi.

Lkn utaniambia, wakicheza tena hiyo formation ya 4 2 3 1 kwenye mchezo wa marudiano Tunis utaona watakavyo kogeshwa magoli.
 
Najiuliza yanga kusajili kwa mamilioni ya shilingi ndio matokeo haya
 
Wew ni Simba na unapenda kuona Nabi anaondoka maana tangu Nabi awepo Yanga imeimarika sana mpk sasa ni unbeaten 45 Nbc premier League, Kimataifa Yanga hatua hii imekutana na team zenye uzoefu na uwezo hata kifedha za uarabun, kama Yanga nayo ingekutana na team za kusin wamakonde kama wale wa Angola angeshinda tu
Ukiwa team ndogo lazima ukutane na team kubwa. Simba yuko level zingine ni team kubwa anakutana na team ndogo.
 
Seriously Yanga MMEHARIBU

Th funny thing is that, we will see people who will come up and defend this barbaric & nonsensical act instead of condemning it.

This is why some parts of Africa will continue to be like this.

A bad behavior is a bad one. Simple.

#CAFCCwithMicky #TotalEnergiesCAFCCView attachment 2405238
Hasira za mkizi hizi......Cha muhimu bado Yanga ni unbeaten.
 
Mimi Kama mwanachama na shabiki wa miaka mingi wa Yanga naomba nabi afukuzwe haraka Sana yanga.

Yanga totally ni mbovu Sana mechi yao ya mwisho waliyocheza mpira ni game ya Mtibwa mwezi 8 toka hapo yanga hakuna timu.

Tuna kundi la wachezaji tu

Nabi inaonekana ameshindwa ku control dressing room hana ushawishi wowote..

Unashindwa kumuanzisha Moloko unaanza na Kisinda?

Morrison iyo mechi alikuwa anafanya nn jaman?

Wachezaji mafaza watupu wanalelewa tu pale yanga? Aucho anamuwekaje nje Sure boy?

Baka sioni beki wa kumuweka nje pale yanga!!!

Mpeni hata Mkwasa hii timu muone moto wake!!

Nabi asipofukuzwa kesho narudisha kadi ya uwanachama Bora nibaki kwenye soka la ulaya tu

Siwezi kuendelea kushabikia takataka hizi!!
Blaza kuwa na huruma basi,ana familia ujue
 
Weusi wenzetu maskin kama Bongo hawana umeme na maji kama sisi ndio maana tulishinda..
Nabi ni Kocha mzuri sana Simba roho inawauma kuona Yanga wana kocha ambae mnashindwa kumfunga ndio maana mnaazisha kampen kujifanya ni Yanga hamumtaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kocha anaeifunga Simba ndo kocha Bora kwenu
 
Momeshangaa sana leo hii yanga kushindwa kupata goli kwq vibonde kama hawa ambao hata wachambuzi wote wa bongo waliwadisi
leo wale wale wachambuz washageuka... et Club Aftica sio kipimo kwa yanga! wale jamas wapo juu sana kuliko yanga
 
Sisi ni unbeaten embu tuachie team yetu kama umeichoka.
 
Kwa kocha unbitten, miaka miwili, ndio mumfukuze?
Muda wote huu mlikuwa mnatetema na Mayele tu basi kushangiia iumfunga Simba na Ihefu sc.

Hivi Leo Mayele ni wa kulaumiwa jamani?
 
Mimi Kama mwanachama na shabiki wa miaka mingi wa Yanga naomba nabi afukuzwe haraka Sana yanga.

Yanga totally ni mbovu Sana mechi yao ya mwisho waliyocheza mpira ni game ya Mtibwa mwezi 8 toka hapo yanga hakuna timu.

Tuna kundi la wachezaji tu

Nabi inaonekana ameshindwa ku control dressing room hana ushawishi wowote..

Unashindwa kumuanzisha Moloko unaanza na Kisinda?

Morrison iyo mechi alikuwa anafanya nn jaman?

Wachezaji mafaza watupu wanalelewa tu pale yanga? Aucho anamuwekaje nje Sure boy?

Baka sioni beki wa kumuweka nje pale yanga!!!

Mpeni hata Mkwasa hii timu muone moto wake!!

Nabi asipofukuzwa kesho narudisha kadi ya uwanachama Bora nibaki kwenye soka la ulaya tu

Siwezi kuendelea kushabikia takataka hizi!!
Acha utani wewe, Nabi bado yupo sana. Nabi ana michezo 50 bila kufungwa! Utapata wapi kama yeye?
 
Back
Top Bottom