Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wa waydad na rivers United walikuwa uwanjani leo na baadhi ya makocha na viongozi kutoka nchi mbali mbali.Wydad watawasili muda wowote
Goli la kwanza huwa halichelewi nashangaa wanaume wanaotumia mkongo kwenye goli la kwanza.Haya, tumelifuta hilo goli..
Simba 1 yanga 0...
Hapo anasemaje..?
Mwambieni aache ulevi
Mkawapokee jknia halafu muungane nao mje tucheze kombaini ya wydad na utopolo vs simba mnyamaaaaWydad watawasili muda wowote
Ha ha haaMbona hata goli lenyewe halijapigwa ki kona kona..yeye ale tende alale
Sure kutesa kwa zamu kakaHa ha haa
Siku yenu leo. Yetu yaja.
Kona ilikuwa ya kwanza ikarudiwa kwa makosa ilipazwa I we free Kik[emoji23]Mbona hata goli lenyewe halijapigwa ki kona kona..yeye ale tende alale
Yani kama liliandikwa ni bao hata ingekuwajee mkuu lilikuwepo tuuKona ilikuwa ya kwanza ikarudiwa kwa makosa ilipazwa I we free Kik[emoji23]