cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kabisaaaaa yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwan huo muda ulipotea kwa yanga tu? Hata sisi simba huo muda tulikua tunautaka mana leo tulitaka tuwakandamize hata tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaaaa yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwan huo muda ulipotea kwa yanga tu? Hata sisi simba huo muda tulikua tunautaka mana leo tulitaka tuwakandamize hata tano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee kwa kutesekaaaa.Siwezi kubishana na mbumbumbu asiyejua kwamba hamjashinda vs Yanga tangu goli la Kagere
Uliona alivomuuliza mkalimani wake amtajie jina la Robertinho? Na alipotajiwa alilirudia kwa madharau sana. Sio kiprofesheno kabisa!!Mbna alimtajaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kumbe kiswahili anakijua vizuri mnooo.Uliona alivomuuliza mkalimani wake amtajie jina la Robertinho? Na alipotajiwa alilirudia kwa madharau sana. Sio kiprofesheno kabisa!!
Hata mtu akiekti bubu wewe mchape Kelbu ya nguvu utaona anavoanza kubwabwaja!! 😂 😂 😂 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kumbe kiswahili anakijua vizuri mnooo.
Shuti la mwanaumeView attachment 2590623Father Benaaaaaaard
Ule mlalo wa Diarra sio powahIt's football hongera mtani,furaha ikizidi Sana inakuwa kilio kilichobaki ni kufocus na mechi za kimataifa tuchange karata zetu mapema
Ata manula alilala doggy style Unakumbuka free kick ya Aziz kiUle mlalo wa Diarra sio powah
ukiona kocha mkuu anaanza kulalamikia magoli yaliyofungwa ujue mambo si mazuri kwa upande wake. mwisho atasema na la pili na lenyewe lilikuwa offside.Kocha Mkuu wa Yanga, Nasrdinne Nabi akihojiwa na waandishi wa habari baada ya mchezo wa leo amesema; bao la kwanza walilofunga Simba halikuwa halali na hivyo likawatoa mchezoni hali iliyopelekea timu yake kupoteza mchezo huo.
"Kwa waliotazama mechi vizuri hasa waliopo nyumbani watakubaliana na mimi kuwa ile haikuwa kona halali, ilipaswa iwe goal kick ila ikaamuliwa kuwa ni kona na hatimae tukafungwa goli la haraka," aliongeza Nabi.
View attachment 2590310
kwani hamkufanyia mazoezi namna ya kuzuia konaKwa waliotazama mechi vizuri hasa waliopo nyumbani watakubaliana na mimi kuwa ile haikuwa kona halali, ilipaswa iwe goal kick ila ikaamuliwa kuwa ni kona na hatimae tukafungwa goli la haraka," aliongeza Nabi.
Ile ni zaidi ya dogi, kaguu kako juu kama kameungwa na motoAta manula alilala doggy style Unakumbuka free kick ya Aziz ki
Sherehe za ubingwa mnafanyia wapi 😂Ile ni zaidi ya dogi, kaguu kako juu kama kameungwa na moto
Means justifies the end.Goli sio halali au Kona sio halali?
Yale ni mazoezi ya CAFCL au hujui kuwa tuna mechi za kikubwa sisiSherehe za ubingwa mnafanyia wapi 😂
Sawa na mlevi akiwa mzima hajui inglish akilewa Sasa anatema yai balaaaNa ile Penalt waliyopewa dhidi ya Geita, mbna hajawahi kusema sio halali??
Afu kumbe kiswahili anakijua vizuri mnoooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]