Nabi kapigwa chini FAR Rabbat?

Kauli yako inamaana kwakuwa hersi kaletwa na mfadhili ila ingekuwa yeye ndio kamtafuta mfadhili tungesema kafanya makubwa yanga
 
Kauli yako inamaana kwakuwa hersi kaletwa na mfadhili ila ingekuwa yeye ndio kamtafuta mfadhili tungesema kafanya makubwa yanga
Kwa nini Mshindo Msola na Fredrick Mwakelebela walijiondoa na kuunga juhudi za mpambe wa mfadhili? Jibu ni kwamba hawaaminiki na mfadhili na walipewa walichostahili na akawekwa mtu muaminifu kwa Mfadhili ambaye ni Eng. Hersi Said.
 
Mental health is really
Mfano ni wewe na wengine wanaoamini bila mipango madhubuti kuna siku SimbaSC na YangaSC bila kubuni njia za kujitafutia njia mbadala za mapato nje ya wafadhili watakuja kujikwamua na kuacha kutegemea matajiri.
 
Mtu yeyote, anakuwa na thamani Yanga anapohudumu kwa kipindi husika, akitoka tu huwa wanamuongelea shit
 
Bwege Nazi huyo achana nae
 
Makampuni gani unayosema yamedhamini Ligi!?
 
Alinyea kambi Yanga,

Alibembelezwa abaki akaona akibaki tutafaidi

Mwache aisome namba
Hizi roho za kichawi sijui huwa mnatoa wapi tu, kwahiyo maisha ya Nabi yalikuwa yakimilikiwa na Yanga Sc kwamba hakutakiwa kuondoka mpaka pale nyinyi ambapo mngeamua ?

Kabla Nabi hajaja Yanga Sc hakuwa na maisha ama aliwahi kuja kuwaomba msaada? Acheni mtu apeleke maisha yake namna ambavyo anaona inafaa kwake.

Mtu aache kufata hela kisa wewe Kilimba muuza genge unaechonga mdomo mitandaoni.?
 
Nani anaenda kumleta mchezaji kama injinia hana kazi?
 
Yule Sio Kocha Kitambo.....

Wachambuzi uchwara Wa Bongo ndo Walimbeba
 
Mfano ni wewe na wengine wanaoamini bila mipango madhubuti kuna siku SimbaSC na YangaSC bila kubuni njia za kujitafutia njia mbadala za mapato nje ya wafadhili watakuja kujikwamua na kuacha kutegemea matajiri.
Hakuna njia mbadala angalia timu kubwa zote duniani zinawafadhili
 
Una akili timamu?
 
Muddy ana msaada gani simba
 
YangaSC na SimbaSC bado hazijiwezi kiuchumi wao kama timu bali waafadhili na wadhamini wanaotoa pesa ndio wanawafanya wawe walivyo na wakijiondoa yatatokea yale yale Mahboub Manji.
Wale jamaa hawana lolote wale wanaringia kazi zao tu wale wakifukuzwa kazi leo wale watakua hohe hahe.
 
Sven au kishingo alikuwa kocha wa Simba, tangia ameondoka ameshafundisha timu zaidi ya nne na zote anafukuzwa kwa muda mfupi Ila sijawahi kusikia Simba wanasema kishingo ana laana yao.
Washabiki wa yanga mnapaswa kujua maisha ya mpira yakoje.
 
Kweli kabisa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…