kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Ile dhana ya hakuna mchezaji mkubwa kwenye timu ya Yanga inainufaisha Yanga leo na hata kesho. Kumchezesha mchezaji huyohuyo kwenye mechi zote timu inapopata matokeo mazuri na timu kupata matoke mabaya kama mchezaji huyo asipopangwa kunaingarimu timu fedha nyingi kumbakisha kikosini mchezaji kama huyo.
Nabi anafanya vizuri kuwapunzisha wachezaji hata wale wanaojiona pangapangua lazima wacheze ili timu kupata matokeo. Panga pangua hii ya Prof. Nabi kutaisaidia Yanga kupunguza gharama kwa wachezaji na mawakala wao wanaojiandaa kujikweza ili kubaki Yanga.
Mtu pekee anaestahili kujikweza pale yanga ni benchi la ufundi na wachezaji wachache saaana wasiozidi 3.
Nabi anafanya vizuri kuwapunzisha wachezaji hata wale wanaojiona pangapangua lazima wacheze ili timu kupata matokeo. Panga pangua hii ya Prof. Nabi kutaisaidia Yanga kupunguza gharama kwa wachezaji na mawakala wao wanaojiandaa kujikweza ili kubaki Yanga.
Mtu pekee anaestahili kujikweza pale yanga ni benchi la ufundi na wachezaji wachache saaana wasiozidi 3.