Nabi: Mrudishe mzee wa kazi chafu Yanick Bangala acheze number 6, Bigirimana na Aucho watakufelisha mapema

Nabi: Mrudishe mzee wa kazi chafu Yanick Bangala acheze number 6, Bigirimana na Aucho watakufelisha mapema

mwanausangi

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2021
Posts
548
Reaction score
608
Wakuu salama,

Nimeangalia mechi ya timu yangu pendwa ya wananchi jana nikagundua beki yetu inaonekana mbovu na kujichanganya simply because viungo wakabaji hawafanyi kazi yao vizuri Bigirimana na Aucho ni wazito sana wanashindwa kuendana na kasi za vijana!

Nabi mrudishe Bangala number sita then ingia sokoni dirisha dogo leta bonge la beki wa kati!
 
Kwa sasa tukubali tu Yanga hatuna golikipa namba 1, beki namba 3 na pia beki wa kati wa uhakika.

Na kwenye mechi ya jana, nadhani Profesa Nabi anawajibika moja kwa moja kwa yale matokeo. Kiukweli upangaji wake wa timu kipindi cha kwanza ulikuwa ni majanga matupu.
Hapana nakataa Joyce ni mzuri Sana Ila anatakiwa kucheza na winga anayerudi kumsaidia

Bangala arudi Namba sita Job na mwamnyeto wanaweza kucheza vizuri Sana Namba 4 na 5

Mchezaji ambaye simuelewi ni Bigrimana kwenye Kasi hana na anakabia macho sana.

Tunaweza kucheza 4:4:2 nyuma Msheri, Job, Banka/mwamunueto, Juma, Joyc katikati tuwe na Bangala, Aucho, Fei na Aziz ki mbele Moroko na mayele.pia msheri aaminiwe kudaka Diara apigwe benchi kwanza ajifunze.

Timu yetu bila fei Toto inakosa balance pia pengo la Moloko.

Morrison pia awe anaanzia benchi aingie kipindi Cha pili anaicost timu Sana sometimes.

Meamunyeto ni beki Bora kwenye building up Ila sio mzuri kukaba hivyo Bangala akicheza juu anazipa yale magepu yake mwingi anayokosea.

All in all januari lazima tunune beki wa Kati mbishi Kama dickson job.
 
Wakuu salama,
Nimeangalia mechi ya timu yangu pendwa ya wananchi jana nikagundua beki yetu inaonekana mbovu na kujichanganya simply because viungo wakabaji hawafanyi kazi yao vizuri Bigirimana na Aucho ni wazito sana wanashindwa kuendana na kasi za vijana! Nabi mrudishe Bangala number sita then ingia sokoni dirisha dogo leta bonge la beki wa kati!
Mchezaji katoka Newcastle kacheza na demba ba halafu unasema hafai hebu kuwa serious hyo kawafanya watu wakeshe siku ya utambulisho wake labda aucho maana jana alikuwa anapoteza mipira hovyo tu.
 
Mchezaji katoka Newcastle kacheza na demba ba halafu unasema hafai hebu kuwa serious hyo kawafanya watu wakeshe siku ya utambulisho wake labda aucho maana jana alikuwa anapoteza mipira hovyo tu.
upo sahihi lakini jana alionekana mzito sana ie Bigirimana!it might be lack of match fitness
 
Kwa sasa tukubali tu Yanga hatuna golikipa namba 1, beki namba 3 na pia beki wa kati wa uhakika.

Na kwenye mechi ya jana, nadhani Profesa Nabi anawajibika moja kwa moja kwa yale matokeo. Kiukweli upangaji wake wa timu kipindi cha kwanza ulikuwa ni majanga matupu.
Yaani we sijui umeandika ukiwa usingizini...huwezi kumdharau Diarra kwa sababu ya mechi ya jana maana hata kipa wa azam alitoa boko goli la Fei mpira ndio ulivyo.
Halafu jana Lomalisa alionesha performance nzuri kuliko Djuma shaban.
 
Yaani we sijui umeandika ukiwa usingizini...huwezi kumdharau Diarra kwa sababu ya mechi ya jana maana hata kipa wa azam alitoa boko goli la Fei mpira ndio ulivyo.
Halafu jana Lomalisa alionesha performance nzuri kuliko Djuma shaban.
Huu ni mtazamo wangu tu. Hivyo huna sababu ya kuuchukulia serious.
 
Yaani we sijui umeandika ukiwa usingizini...huwezi kumdharau Diarra kwa sababu ya mechi ya jana maana hata kipa wa azam alitoa boko goli la Fei mpira ndio ulivyo.
Halafu jana Lomalisa alionesha performance nzuri kuliko Djuma shaban.
Bro djuma aliingia second half ndio timu ikaanza kupanda kwa Kasi unasema djuma ilipwaya duh kweli Kila mtu na macho yake aisee
 
Bangala anahitajika zaidi namba sita kuliko namba 5, aucho atacheza vkzuri akiwa na bangala au feisal
 
Bangala anahitajika zaidi namba sita kuliko namba 5, aucho atacheza vkzuri akiwa na bangala au feisal
Sahihi kabsa. Halafu kule nyuma Job atafutiwe beki mwepesi. Mwamnyeto amekua mzito sana nadhani kocha ameliona.. yaan ikipgwa counter attack unashka roho.. natamani tungepata kiraka kama yule dogo wa azam Lusajo Mwaikenda
 
Nabi naona anataka kujaribu wachezaji kwenye match kubwa,binafsi kwa jana birigimana,nkane na e job kucheza beki wa pembeni ilitupa wakati mgumu mno,mtu una farid unamuanzisha nkane!
 
Nikiona mtu anamtilia shaka Joyce nasema hiiiiiiiiiiii!! Yule ni mtu na nusu, na siku zote nashangaa anayeshauli bangala kucheza beki ni nani wakati akicheza 6 ndo ubora wake haswa unaonekana na anamfanya Aucho kuonekana, siku zote mwamyeto na Job wakicheza pamoja wanapeform balaa lkn sijui makocha wao kuna kitu gani wanakiona mpaka kuwabadilisha. Ukweli Diara toka msimu umeanza anapwaya bora apigwe benchi kwanza akili imkae.
 
Nabbi tayar ana first 11 yake nkashangaa anabet kikosi. Job anacheza pembeni vip.

Nkane oale winger wa nnna hata ubavu hana. Bigirimana bado pale kati hana ubavu.

Solution kama mleta mada alivisema na wachangiaji wengne, Bangala arudi kati, waingie sokoni watafute CB, Msheri aanze kuaminika, Kisinda aanze kucheza wasitutanie.
 
Back
Top Bottom