Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
OkBasi tembea mbele. Huna sababu ya kuni quote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkBasi tembea mbele. Huna sababu ya kuni quote.
Punguzeni lawama jamani. Duniani hakuna kipa asiyefungwa. Hivi kweli goli la kwanza la Azam dhidi ya Yanga waweza kumlaumu kipa? Ule mpira ulikuwa deflected na kichwa cha Amoah ukaenda uelekeo tofauti na mahesabu ya Kipa. Vinginevyo mnataka malaika waje wacheze.Kwa sasa tukubali tu Yanga hatuna golikipa namba 1, beki namba 3 na pia beki wa kati wa uhakika.
Na kwenye mechi ya jana, nadhani Profesa Nabi anawajibika moja kwa moja kwa yale matokeo. Kiukweli upangaji wake wa timu kipindi cha kwanza ulikuwa ni majanga matupu.
Punguzeni lawama jamani. Duniani hakuna kipa asiyefungwa. Hivi kweli goli la kwanza la Azam dhidi ya Yanga waweza kumlaumu kipa? Ule mpira ulikuwa deflected na kichwa cha Amoah ukaenda uelekeo tofauti na mahesabu ya Kipa. Vinginevyo mnataka malaika waje wacheze.Kwa sasa tukubali tu Yanga hatuna golikipa namba 1, beki namba 3 na pia beki wa kati wa uhakika.
Na kwenye mechi ya jana, nadhani Profesa Nabi anawajibika moja kwa moja kwa yale matokeo. Kiukweli upangaji wake wa timu kipindi cha kwanza ulikuwa ni majanga matupu.
Nani amelalamika! Mimi nimetoa tu mtazamo wangu. Hivyo unatakiwa kutofautisha kati ya lawama, na malalamiko. Na ninaomba nieleweke vizuri.Punguzeni lawama jamani. Duniani hakuna kipa asiyefungwa. Hivi kweli goli la kwanza la Azam dhidi ya Yanga waweza kumlaumu kipa? Ule mpira ulikuwa deflected na kichwa cha Amoah ukaenda uelekeo tofauti na mahesabu ya Kipa. Vinginevyo mnataka malaika waje wacheze.
Pale tulipigwa mzee hakuna kitu paleupo sahihi lakini jana alionekana mzito sana ie Bigirimana!it might be lack of match fitness
Kabisa ile draw ni ya Nabi, alipanga kikosi cha hovyo sana, sasa ni wakati wa kuimarisha first 11 kwanza ikishakaa level ndiyo then unaanza kuifanyia rotation taratibu, hii panga pangua hii tutajukuta kwenye champion league bado tunasuasuaKwa sasa tukubali tu Yanga hatuna golikipa namba 1, beki namba 3 na pia beki wa kati wa uhakika.
Na kwenye mechi ya jana, nadhani Profesa Nabi anawajibika moja kwa moja kwa yale matokeo. Kiukweli upangaji wake wa timu kipindi cha kwanza ulikuwa ni majanga matupu.
Jamaa yupo sahihi sana embu anzia mechi ya fainali ya FA ni kufungwa tu kwa Daira tena magoli ya ovyo ovyo tuYaani we sijui umeandika ukiwa usingizini...huwezi kumdharau Diarra kwa sababu ya mechi ya jana maana hata kipa wa azam alitoa boko goli la Fei mpira ndio ulivyo.
Halafu jana Lomalisa alionesha performance nzuri kuliko Djuma shaban.
Mfano ile mechi ya juzi Diarra alikosea wapi?Nikiona mtu anamtilia shaka Joyce nasema hiiiiiiiiiiii!! Yule ni mtu na nusu, na siku zote nashangaa anayeshauli bangala kucheza beki ni nani wakati akicheza 6 ndo ubora wake haswa unaonekana na anamfanya Aucho kuonekana, siku zote mwamyeto na Job wakicheza pamoja wanapeform balaa lkn sijui makocha wao kuna kitu gani wanakiona mpaka kuwabadilisha. Ukweli Diara toka msimu umeanza anapwaya bora apigwe benchi kwanza akili imkae.
Ile mechi ya Azam alikosea wapi?Jamaa yupo sahihi sana embu anzia mechi ya fainali ya FA ni kufungwa tu kwa Daira tena magoli ya ovyo ovyo tu
Tatizo ,Li Penati[emoji28][emoji28][emoji28]Bro djuma aliingia second half ndio timu ikaanza kupanda kwa Kasi unasema djuma ilipwaya duh kweli Kila mtu na macho yake aisee